Salaam zenu wana JF.Mi nna laptop ya compaq na external webcam ya touchmate.tatizo ni kwamba nikiwasha webcam sioni kitu chochote kwa sbb window yake ni giza tupu.nawezaje kuiseti vizuri niitumie,na alafu ki-light cha webcam nna ki-turn on vp?
natanguliza shukrani zangu.
natanguliza shukrani zangu.