Window XP no longer in use.

Loloo

JF-Expert Member
Apr 9, 2011
214
54
Napenda kuwaalert wale wasiohua kuwa Microsoft wamephase out Window XP yani sa hivi unayoweza kutumia at least ni SP3 so ukiona msg kwamba the s/w is invalid usishangae hamia kwingine.
 
Umeona eeeeeeeeh!!!!?
Lets find another alternative!!!!

Oh!! Mkuu sweetbaby, Can you acknowledge the source of that information?
 
Last edited by a moderator:
watastop kutoa support na sio kufunga os hawana ubavu huo.
-itakua microsoft wakiulizwa maswali kuhusu window xp hawajibu (watanzania maswali ya xp hawaulizi web ya microsoft)

-hawatatoa updates (wabongo wana update ant virus tu)

-software za xp zitastopishwa kutengenezwa (watanzania hadi leo wanacheza game za 98 )

-watatoa elimu watu wahamie vista na windows 7 na 8 (elimu haitawafkia watz na ikiwafkia hawataiskiliza)

-computer mpya hazitasuport xp (wabongo wanatumia used hawanunui vipya)

-watablock all ways (torrent na crack zipo za kumwaga)

Sidhan kama ita affect bongo
 
Napenda kuwaalert wale wasiohua kuwa Microsoft wamephase out Window XP yani sa hivi unayoweza kutumia at least ni SP3 so ukiona msg kwamba the s/w is invalid usishangae hamia kwingine.
Microsoft hawana ubavu kwa sababu:
1. Walitaka kupiga chini na kuipa promo vista na 7 ikashindikana
2. Walitaka kupiga chini 32bit ikawalazimu kwenda kwenye 64bit
why? it is compatible to most industrial softwares ambazo watu wengi wanatumia
 
watastop kutoa support na sio kufunga os hawana ubavu huo.
-itakua microsoft wakiulizwa maswali kuhusu window xp hawajibu (watanzania maswali ya xp hawaulizi web ya microsoft)

-hawatatoa updates (wabongo wana update ant virus tu)

-software za xp zitastopishwa kutengenezwa (watanzania hadi leo wanacheza game za 98 )

-watatoa elimu watu wahamie vista na windows 7 na 8 (elimu haitawafkia watz na ikiwafkia hawataiskiliza)

-computer mpya hazitasuport xp (wabongo wanatumia used hawanunui vipya)

-watablock all ways (torrent na crack zipo za kumwaga)

Sidhan kama ita affect bongo
Exactly, thats what i know. Na kwenye hizo brackets umenifundisha mengi.
 
watastop kutoa support na sio kufunga os hawana ubavu huo.
-itakua microsoft wakiulizwa maswali kuhusu window xp hawajibu (watanzania maswali ya xp hawaulizi web ya microsoft)

-hawatatoa updates (wabongo wana update ant virus tu)

-software za xp zitastopishwa kutengenezwa (watanzania hadi leo wanacheza game za 98 )

-watatoa elimu watu wahamie vista na windows 7 na 8 (elimu haitawafkia watz na ikiwafkia hawataiskiliza)

-computer mpya hazitasuport xp (wabongo wanatumia used hawanunui vipya)

-watablock all ways (torrent na crack zipo za kumwaga)

Sidhan kama ita affect bongo

hahahahaha! man nimecheka hadi basi.. hizo highlights ni kweli kabisa .. LoL ! kuna watu wana update anti virus tu
 
Back
Top Bottom