jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,074
- 28,272
Habari za jioni wanaJF!
Mimi ni muumini wa kumsikiliza kiongozi katika mapambano yoyote.
Upo muda wa taharuki,kutoaminiana, kuchallange, kujadili na hatimaye kuchukua upande na uelekeo.
Mwaka 2020 tulikuwa na Jemedari wa vita dhidi ya covid 19 na alituvusha salama with acceptable number of fatalities.
Mwaka huu tunaye Jemedari mpya aliyejifunza uzoefu wa vita hivi lakini pia Jemedari huyu anaikuta vita katika hali ya mabadiliko.
Kwa namna yoyote ile kila Jemedari ana mbinu zake ambazo anaziamini ni sahihi na kila subordinate ni lazima na muhimu kuzifuata kwa afya ya mfumo.
Naweka bandiko hili kujaribu kuelezea ni kwa nini sasa tukubali kuchanjwa kama sehemu ya afua zinazobadilika mara kwa mara katika mpambano huu.
Sio jambo geni kubadilika katkati ya mapambano ,tufanye hivyo sasa na tuujenge umoja wetu.
Kwa sasa afua ya chanjo imeonekana (with all doubts and uncertainities) kuwa ndio afua bora.
Sasa tuungane rasmi ,tuikubali chanjo tuendelee kuielewa na baadhi yetu lazima tujitoe muhanga.
Kuna mdau anasema ni bora tuwe zombies kuliko kufa,isitoshe kama dunia yote tunaamua kuwa zombies basi hatuna budi kugeuka zombies wenye character(genes) za kitanzania.
#Kazi iendelee na tusameheane wotekwani wapingaji na waungaji mkono wote wana sababu za msingi.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Mimi ni muumini wa kumsikiliza kiongozi katika mapambano yoyote.
Upo muda wa taharuki,kutoaminiana, kuchallange, kujadili na hatimaye kuchukua upande na uelekeo.
Mwaka 2020 tulikuwa na Jemedari wa vita dhidi ya covid 19 na alituvusha salama with acceptable number of fatalities.
Mwaka huu tunaye Jemedari mpya aliyejifunza uzoefu wa vita hivi lakini pia Jemedari huyu anaikuta vita katika hali ya mabadiliko.
Kwa namna yoyote ile kila Jemedari ana mbinu zake ambazo anaziamini ni sahihi na kila subordinate ni lazima na muhimu kuzifuata kwa afya ya mfumo.
Naweka bandiko hili kujaribu kuelezea ni kwa nini sasa tukubali kuchanjwa kama sehemu ya afua zinazobadilika mara kwa mara katika mpambano huu.
Sio jambo geni kubadilika katkati ya mapambano ,tufanye hivyo sasa na tuujenge umoja wetu.
Kwa sasa afua ya chanjo imeonekana (with all doubts and uncertainities) kuwa ndio afua bora.
Sasa tuungane rasmi ,tuikubali chanjo tuendelee kuielewa na baadhi yetu lazima tujitoe muhanga.
Kuna mdau anasema ni bora tuwe zombies kuliko kufa,isitoshe kama dunia yote tunaamua kuwa zombies basi hatuna budi kugeuka zombies wenye character(genes) za kitanzania.
#Kazi iendelee na tusameheane wotekwani wapingaji na waungaji mkono wote wana sababu za msingi.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!