nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,862
- 5,797
- Thread starter
- #61
Ina maana William Malecela harudi tena USA? manake ni kitambo sana tangu atie timu bongo, au mwenzetu kachukua likizo isiyokuwa na malipo? I pity him, tumshaurini ni mwenzetu yule.
Umeona USA alikuwa anafanya kazi kwa contracts zikiisha hana kazi; na Mzee anatuma hela za kumtunza... au anacollet
UNEMPLOYMENT Miezi 6 au 9 anapata tena hizo contracts hapo UN kwa kutumia UBALOZI wa TANZANIA anapata kazi kwa
Miezi 4 au 6 halafu kazi ikiisha Unaenda kukollect tene UNEMPLOYMENT Sasa anasema kuwa yeye na MTOTO wa aliyekuwa
MBUNGE wa CCM wa ILEMELA ndio waliokuwa waanzilishi wa JAMII FORUMS; Na wanakwenda kwenye CHOMBO
Cha USAJILI Tanzania kujiondoa na PIA kuivunja JAMII FORUMS; lakini anasema alipojitoa Jamii Forums na kuanzisha WEB SITE
yake anasema kuwa aliondoka na SHARE's za JAMII FORUMS na pia WADHAMINI kwahiyo imemwezesha kuanzisha website
bure... INASHANGAZA....