jogi
JF-Expert Member
- Sep 25, 2010
- 25,558
- 25,323
Kwakuwa Wiliamu Malecela ni mtanzania na amezaliwa Tanzania, anahaki ya kushiriki siasa za Tanzania bila kuwekewa mipaka. Acheni kujifanya ninyi ndio wenye haki kuliko watu wengine, eboo!!!
Kama ebooo!!!!! ni tusi basi MWENYEWE!!!!