Mkuu EMT uko right kabisa kamanda.wanajamvi karibuni kwenye ulimwengu wa siasa.siasa ni mchezo wo kuigiza,period.viongozi wetu wengi wanakimbilia kuingia kwenye siasa kwaajili ya kujiongezea kipato na kuweza kujinufaisha wao na familia zao basi.siasa kwa viongozi wengi ni ajira kama ajira nyingine.kwamba imekuwa ni njia ya kutokea kimaisha.kwahiyo utakuta viongozi wengi walioongoza kwa miaka nenda rudi hawajaweza kutekeleza ahadi ambazo walitoa kwa wananchi ili wachaguliwe.kwahiyo inapofika wakati wa uchaguzi mwingine wanakosa cha kuongea manake ahadi zao zote walizowahi kuzitoa hawatekelezi.kwahiyo inabidi waendelee kudanganya wananchi.wenyewe wanajua kwamba wanadanyanya na wanaodanganywa pia wanafahamu wanadanganywa ila mwisho wa siku wanawapa tu kura.wananchi wanaelewa kabisa wanadanganywa mpaka sasa wamezoa na kuipenda hali hiyo.atleast nadhani inawapa walau matumaini japokuwa ni hewa.sasa wakuu tutakuwa tunajidanganya tu na kuumia vichwa kama tunataka kila kiongozi awe na credentials ambazo tunazitaka.cha muhimu atleast tujitahidi kwa kila njia,iwe ni maandamano,iwe ni kuongea sana ili Mungu atusaidie tupate Raisi smarthawa viongozi wachinichini hakuna hata mmoja anafikiria wananchi wake zaidi ya kupigania kujiendeleza yeye mwenyewe na kupata umaarufu.tukiwa na Raisi smart basi hakuna kiongozi wa chini ambaye atazuia nchi kuendelea.Ndo maana wakuu kwa mtu anayefahamu umuhimu wa jambo hili pia atafahamu kwamba suala la mchanganuo wa katiba ndio starting point ya kuelekea kwenye ukombozi wetu.kwamba ni lazima tuwe watu wakutaka kujua sababu kwenye kila step serekali inayofikia kwenye hili zoezi la katiba.tusiwe wepesi wa kujudge wengine wanapotoa points zao pasipo kujaribu kutadhmini mawazo yao.mfano ni kama mzee mtei alivyokuwa opposed kwa kuongea ukweli.kwa mtu yeyote mwenye akili timamu anafahamu fika kuwa alichoongea mzee mtei ni common sense na kwamba mzee mtei ni mzee ambaye hatujawahi kumsikia akiropoka ovyo kama wazee wengine wengi,hivyo ni mtu ambaye mpaka kufikia hatua ya kutoa comments kama hizi tayari ameona mbali.tusipende ushabiki wa kijinga.tusiongelee hii issue kishabiki kama tunavyoshabikia simba na yanga.tuweke masuala ya vyama pembeni na tupambanue haya mambo kwa kisomi zaidi na kiutaifa zaidi.kwasababu yanafaida kwa sisi wote na vizazi vyetu vitakavyofuatia.mbarikiwe!Nafikiri watu wengi pamoja na hata mleta mada wamechanganya mambo. Sidhani kama suala hasa hapa ni Jumuiya ya Afrika Mashariki. Suala hapa ni kama kweli tunapekeka watu makini kutuwakilisha huko. Inawezekana aliyosema William ni ya kweli kabisa lakini mbona wanasiasa wetu wakati wa kampeni huwa wanafanya hivyo hivyo kwa kutuondhoreshea list ya matatizo yetu na jinsi watakavyoyatafutia ufumbuzi lakini wakishachangualiwa hawafanya chochote?
Wakati babake alivyopigwa chini na Lusinde watu hapa walishangilia weee, kumbe Lusinde mwenyewe mliokuwa mnamshangilia ndiye huyo. Leo mnapewa maneno matamu na William tayari kwishaney. Ukitaka kuwapiga bao Watanzania ongea tuu kile wanachotaka kusikia. Hata kama ukiwa kichaa watakuchagua tuu uwawakilishe. Muone hata Lusinde kadhibitisha yeye ni kichaa wa kuzaliwa lakini still walimchagua kuwa mbunge wao.
Hatuna tabia ya kwenda deep na ku-examine hawa watu kama kweli wana credentials zinazotakiwa kutuwakilisha hasa kwenye ngazi za kimataifa where the national interests are at stake. Kwa kweli inabidi ifike mahali tujiulize: Are we picking the right people to represent and defend our interests in the East African Community na kwingine kote duniani? Je, process nzima inayotumika kuwapata hawa wawakilishi ni fair na open kwa watu wote? Au watu wanapitishwa kwa kujuana tuu? Imefika wakati tuache kudanganywa na maneno ya watu wanaodai kuwa wanataka kutuwakilisha wakati wanataka tuu uongozi kwa faida zao binafsi.
Kama kweli kuna mtu aliyesikiliza interview ya William kuanzia mwanzo mpaka mwisho na ku-conclude kwamba anafaa kabisa kutuwakilisha EAC then we have got a long way to go. Seriously, utakuwa huna tofauti na yeye kusema kuwa tuna gap ya miaka 250 kufikia demokrasia ya Marekani. Kama ndivyo unavyotaka then muunge mkono lakini usilalamike kuhusu demokrasia mbaya Tanzania kwa muda wa miaka 250 kama bado utakuwa hai.