Lady Whistledown
JF-Expert Member
- Aug 2, 2021
- 1,031
- 1,648
Will Smith hataruhusiwa kuhudhuria Tuzo za Academy kwa miaka 10 ijayo, kutokana na kumpiga kibao mcheshi Chris Rock jukwaani wakati wa sherehe ya mwaka huu ya Oscar, The Academy of Motion Pictures imetangaza
"Bodi imeamua, kwa muda wa miaka 10 kuanzia Aprili 8, 2022, Bw. Smith hataruhusiwa kuhudhuria hafla au programu zozote za Academy , yeye binafsi au kwa njia ya mtandao, lakini sio kwa Tuzo za Academy," ameeleza Rais wa Academy
Uamuzi huo ulifanywa wakati wa mkutano wa Bodi ya Magavana uliofanyika mapema siku ya leo huko Los Angeles.
Marufuku hii haitajumuisha kuwania au kushinda tuzo hizo maarufu za Filamu
Chanzo: CNN
"Bodi imeamua, kwa muda wa miaka 10 kuanzia Aprili 8, 2022, Bw. Smith hataruhusiwa kuhudhuria hafla au programu zozote za Academy , yeye binafsi au kwa njia ya mtandao, lakini sio kwa Tuzo za Academy," ameeleza Rais wa Academy
Uamuzi huo ulifanywa wakati wa mkutano wa Bodi ya Magavana uliofanyika mapema siku ya leo huko Los Angeles.
Marufuku hii haitajumuisha kuwania au kushinda tuzo hizo maarufu za Filamu
Chanzo: CNN