Lambardi
JF-Expert Member
- Feb 7, 2008
- 16,564
- 17,469
Pole sana Kamanda Lwaks tuko nyuma yako!kuhakikisha 2015 tunabadilisha upepo huu na ukombozi wa kweli upatikane!ni mapambano ambayo alieshika mpini hatakubali kirahisi,ila wenye nchi wakiamua inawezekana!tena kwa urahisi tu!nguvu ya sanduku la kura!pole sana ila usirudi nyuma na uwe makini sana!kuna kitu hujakiongelea ila najua sababu ya kesi iliyo mahakamani!hujaelezea ilikuwaje na mazingira yake ile CD na mshirika wako wa karibu!tunaona kuna kitu hujakimalizia!!