Mmwaminifu
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 1,129
- 302
mimi binafsi nimeisha kaa TUKUYU kule nguruwe kama kuku mnapishana mtaani lakini walio wengi pale ni wala NGURUWE hakuna anaejali lakini huwezi waachi ovyo NGURUWE sehem wengi sio wafugaji wa hao WADUDU lazima itakughalim MKUU kubali kua kuna kasoro ndio maana tatizo linazaliwa.. na kufuga NGOMBE eneo la WAKULIMA
Nimekusoma mkuu, sasa na swala la kuua kwa kunyonga kuku 90 huku wakijua kuwa ni kuku na sio nguruwe nalo tunalisemeaje? Hao nguruwe poa tu maana wanapingana na imani ya watu. Sasa kuku na magari ilikuwaje tena?