Mmwaminifu
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 1,129
- 302
kafuge ngaruwe zanzibar au mafia au kilwa au bagamoyo igunga usilazimishe biashara yako wewe kila mtu aipende tueshim na tamaduni za watu mlio wakuta pale ....fuga ngombe au nyoka .... Likini ukifuga simba watu wasio mtumia wata wazuru na mwisho watawachoma moto pia ndio maana kule ..syria .egypt ..iraq ..lebanon kuna sehem imetegwa kwa waislam na wakristo....fuga hata panya nyoka .nk
Na wale kuku na magari yaliyochomwa je? Mkuu usiwe na double standards. We ni nani hadi useme mahali fulani marufuku kufugia mfugo fulani? Kwani hayo mabanda yalikuwa kwenye viwanja vya misikiti?