Ongeauchoke
Senior Member
- Nov 4, 2010
- 149
- 22
Mkuu wa mkoa Polisi mkoa, mkuu wa wilaya na polisi wake katika wilaya mao hayo yanayotokea wanatakiwa wajihudhuru haiwezekani watu waendelee kufanya uovu huo wakaachwa. Hiyo si dini bali ushetani na pengine wahusika katika ngazi zao hizo ni dini moja na hao wahuni.