Anachosema Dr. Hoseah ni kwamba for some reason, ofisa wa ubalozi wa Marekani anamsingizia. Huyo ofisa atakuwa na interest gani ya kuwadanganya viongozi wake kule Washington na kwenye issue kama hiyo. Kama alivyosema Nyambala hapo juu hawa wakuu wetu hawatakiri hata siku moja.
Sasa hivi tunamwona huyu Mkuu akijitahidi kulinda maslahi yake badala angekuwa mjasiri akasema yes ndiyo hivyo nilivyohisi wakati ule. Sidhani kama kuna mtu ambaye angemlaumu kama angesema hivyo lakini tunavyojua, hawa viongozi wetu wanaona ni lazima wajikombe kwa viongozi wao.
Sasa hivi tunamwona huyu Mkuu akijitahidi kulinda maslahi yake badala angekuwa mjasiri akasema yes ndiyo hivyo nilivyohisi wakati ule. Sidhani kama kuna mtu ambaye angemlaumu kama angesema hivyo lakini tunavyojua, hawa viongozi wetu wanaona ni lazima wajikombe kwa viongozi wao.