WikiLeaks: Tanzania official fears for his life!

Atakuja kama Yuda alivyomkana Yesu. Siasa za Africa ni rahisi sana kupredict what will happen.

XXXX nadhani ni moja wa mawaziri wa serikali ya Tanzania.
 
Hii ya Zanzibar wakuu mbona haijapewa uzito. Inaelekea Hoseah alikuwa serious ila serikali ya kishikaji ndiyo issue

With the momentum of anti-corruption efforts on the Mainland, Zanzibar will have to follow suit, Hoseah said. He added, however, that "in the short term, Zanzibar's President faces the end of his term and it appears that there is actually an acceleration of corruption through acquisition of land and other assets."


Sasa kila mtu anajua nini maana ya PCB! Just to receive orders from the president. Hawana freedom katika kutenda mambo yao.
 
XXXXXXXXXXXXX naomba kumjua huyo mtu ni nani jama mbona manatubania?

XXXXXXXXXXXX siyo mtu bali ni watu na wakati mwingine ni maneno makali yaliyobanwa kumwokoa mtu. Lakini pamoja na hayo nafikiri mwisho wa Hoseah upo karibu. Mafisadi wa bara na zanzibar hawamwachi
 
Hosea anatakiwa ajiuzulu mara moja.Hatuna imani nae.....atumie busara.Hebu tumsubiri Membe,Kombaini na Samueli Sitta pamoja na sofia saimba au Chikawe.Tanzania,bila mapinduzi tunatwanga maji kwenye kinu.By the way nani kafanya editing?Halafu Hoseah anamuiga Nuhu Ribandu wa Nigeria! Fool!
 
Kikwete si mjinga. Ameona yaliyomkuta mareheumu Umar Yaradua wa Nigeria. Alipambana na mafisadi wakubwa lakini sasa hivi yuko wapi. (RIP)
Pia kumbuka pale Pengo alipoenda kumzika kadinali mwenzie wa kanda ya Ziwa alichosema; mbele ya mkapa alisema, hao wanaodai wanapinga ufisadi ni kwamba tu na wao hawakupata nafasi , kwani nao wangeiba, sasa unatarajia nini hapo?
Kikwete alipojaribu kuwapeleka tu mahakamani akina liyumba, mramba, yona na mgonja watu (hata humu JF) walisema Kikwete anawahujumu wakristo, mara imekuaje kuwapeleka watu wa mkoa mmoja mahakamani na mengineyo mengi. Sasa nyinyi (wajinga) mnalalmika nini. kwakweli natumia neno hilo ili liwauzi kwani mnakera.
Sasa leo jiulize hivi leo Kikwete akijaribu kurukusu uchunguzi wa mkapa na watu wa jamii yake na hatimaye kumpeleka mahakamani unatarajia nini? Jk kaa kimya waache warap. mwisho watachoka.
Si kwamba JK hajui kuna;
kiwira
rada
ndege ya ya rais
ndege za jeshi
nyumba za serikali kuuzwa
meremeta
tangold
mwananchi
tanesco
NBC
ATC
BOT
miradi mingi ya madini na 10%
na mengineyo mengi.
Ila tu watu wenyewe ni vigeugeu.
kwa kweli JK nakusapoti mpaka hapo watakapobadilika wenyewe, kwani wao wenyewe ndo vigeugeu wala hawaeleweki kama popo.
 
By David Leigh- guardian.co.uk Monday 20th.12.2010

The Tanzanian prosecutor investigating worldwide misconduct by BAE, Britain's biggest arms company, confided to US diplomats that "his life may be in danger" and senior politicians in his small African country were "untouchable".

A leaked account of what the head of Tanzania's anti-corruption bureau, Edward Hoseah, termed the "dirty deal" by BAE to sell Tanzania an overpriced radar system, is revealed in the US embassy cables.
BAE is to appear in court in London tomorrow, when their system of making secret payments to secure arms contracts, exposed by the Guardian, will be officially detailed for the first time.
Every individual involved in the BAE scandal in Britain and Tanzania has escaped prosecution.

But the arms giant agreed with the UK Serious Fraud Office (SFO) to pay £30m in corporate reparations and fines, provided the word "corruption" did not appear on the indictment. A corruption conviction would debar the company from EU contracts.
The former overseas development secretary, Clare Short, said at the time: "It was always obvious that this useless project was corrupt."

Hoseah met a US diplomat, Purnell Delly, in Dar es Salaam in July 2007, and claimed (unrealistically it turned out) he would be able to prosecute guilty individuals in the BAE case. The US cable reports: "He called the deal 'dirty' and said it involved officials from the Ministry of Defence and at least one or two senior level military officers."
Hoseah spoke gloomily about the prospects for Tanzania's anti-corruption struggle and his original hopes to prosecute the "big fish" of corruption.

"He told us point blank ... that cases against the prime minister or the president were off the table ..." The cable then details allegations against former leaders and their inner circles, saying they would be "untouchable".

Please Continue on this link:WikiLeaks cables: Tanzania official investigating BAE 'fears for his life' | World news | The Guardian
 
edward-hosea-mkuu-wa-takukuru.JPG


Huyu yeye kaona bora akashitaki kwa afisa ubalozi wa USA hapa Dar kuwa rais wetu hana guts za kukamata wala rushwa, kwani kazi ya Rais kukamata wala rushwa? sasa kama Hosea alikuwa anazo hizo guts kwa nini ameamua kuzungumza mambo ambayo yanaweza kuharibu kesi nzima kwa afisa ambaye hana clearance ya kuambiwa mambo ambayo kamwambia?


xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx
Edward Hosea's Scam..
We, the Tanzanian Community now living in Canada, have been making a follow up of what is happening in our beloved mother country, Tanzania. Problems facing our country range from being political, social and economical, but the underlaying cause of all these problems is CORRUPTION.

We have discovered that it's corruption that is "eating" Tanzania and all efforts being made by the Prevention and Control of Corruption Bureau (PCCB) has failed. In our opinion, the fight against Corruption will only be successful if the right person is appointed to head the Bureau.

Here we have a person going by the name of Edward Hosea, the current Director General of PCCB. Mr Hosea is the right handman of

Martern Lumbanga the former Chief Secretary. All Lumbanga's property is taken care of by Mr Hosea, whom in the eyes of those who appointed him consider him as being "Clean." This is the opposite, and he might be the dirtiest man than most Tanzanians tend to believe!

Since one Jitesh Ladwa a highly indebted businessman circulated an email message all over the world on what has become to be known, the "BoT Scam" Mr Hosea has turned to be a nuisance to businessmen and investors in Tanzania. Being a close friend to Mr Ladwa, Hosea has been contracted by Ladwa to make sure that all those mentioned in those email messages are taken to task including prosecution. The trick, of which we know, is to make sure the current BoT Governor Mr Daudi Ballali and some Asian businessmen are taken to court and a new Governor is appointed. The complete deal would see Hosea getting paid Tsh 1 billion!

Hosea has initiated a dirty campaign full of threats whereby he moves from one bank to the other requesting banks' authorities to furnish him with bank statements of some of the businessmen. These businessmen are summoned and given a condition of giving huge money to him or face corruption charges. Surprisingly, these bank statements, believed to be top secret are exposed in different areas in Dar es Salaam including bars and hotels. Some of the bank statements have been spotted at places like pubs and bars!

Hosea, who's said to be a devoted Christian who goes to church every Saturday, has sent his wife Sarafina and children Magembe and Shoma to the US on forged documents. His wife is being paid about $9,500 per month. (All documents with regard to this scandal are available). It's no secret that Hosea also owns a house in the US. This is the man who is supposed to be in the forefront fighting corruption.

Recently, Hosea received a lot of money from Barrick Gold as an inducement to interfere a Court Case. It's Barrick who have built him a multibillion house at Mbezi Beach. The house is in three plots where you meet eight (eight??) dogs on guard and bills settled by PCCB. It's the same Hosea who is fully involved in Prof Mahalu's case, and that's why there are two conflicting reports on Mahalu's investigation report. One prepared by Hosea himself and the other by PCCB. Hosea, who's at the payroll of Mohamed Enterprises Ltd has caused Tanzanians to suffer a lot following his failure to investigate a multibillion fertilizer scandal involving the company. The outcome was the decision by the Japanese government to cancel a fertilizer

grant to Tanzania.

The same Hosea is sitting on another big scandal involving the same company. Recently, Mohammed Enterprises imported hundreds of tones of sugar which was declared that it was meant for the Democratic Republic of Congo (DRC). But TRA discovered later that the huge consignment of sugar was for the Tanzanian local market. TRA decided to impound the sugar, and reports have it that the matter "was recently settled" by some government officials, PCCB team and TRA officials after the importer, Mohammed Enterprises Ltd agreed to give away Tsh 500 million. The matter was reported to almost all media houses, but the story is not coming out because editors and reporters were "paid" millions so that they can contain the scandal. Recent news have it that already the matter had been solved "amicably" whereby Hosea and some TRA officials have been paid millions to cover the would be Tanzania's biggest scandal for 2007!

Memories are still fresh in most Tanzanians especially the media fraternity when Hosea, engineered the arrest and prosecution of the editor of Family Mirror, one Zephania Musendo on arranged and calculated plan aimed at silencing him from publishing stories on Hosea's unethical behaviour. The Family Mirror was carrying stories of complaints from many people whom after being charged by the then Prevention of Corruption Bureau (PCB) were forced by Hosea to hire his law firm. The then PCB Director General (rtd) Brig General Kamazima had warned Hosea that having a law firm that was giving service to those charged by the PCB was unethical because of conflict of interest, but as of now most of those charged by PCB are forced to use the services of Hosea's Law firm! We were also victims of this arrangement.

What's interesting in Hosea's bid to fight corruption is the style he applies. Although he's conducting investigations on the BoT scandal, we have never heard of many Asians being interrogated. Hosea's victims are only black Tanzanians and they are the ones he wants to sacrifice, Tanzanians watch out believe from me Planted Black Tanzania on the BoT scam will be the ones to be implicated. Why?

Jitesh Ladwa, a close friend of Hosea and the author of ALL emails in relation to the so-called BOT Scam was in the past a major beneficiary of the EPA Account. On March 7th, 2005, he applied for a Deed of Assignment and Indian Ocean Hotels Expansion Project. He wrote to the Bank of Tanzania saying that he had purchased Commercial Debt of Itochu Corporation of Japanese Yen 1,078,439,516 from Itochu Corporation formerly known as C. Itoch and Company Ltd.

According to the "executed" Deed of Assignment of Commercial Debt said to have been signed by Hiroyuki Sogabe on behalf of Itochu Corporation and Jitesh Ladwa on behalf of Indian Ocean Hotels Ltd its (Itochu's) address is Africa Re Centre, 6th Floor, Hospital Road, Upper Hill, P.O. Box 30288, Nairobi, Kenya. The Deed was executed on December 7th, 2004.

Mr Jitesh told the Bank of Tanzania that he intended to utilize the funds for the expansion of the controversial Indian Ocean Hotels with new convention Centre, suites, serviced apartments and rental area in an effort to bring conference tourism in Tanzania. His application was rejected by the BoT via the bank's letter dated Sept 1st, 2005. The bank said it was unable to process his request at the moment.

The main reason why Ladwa's application was rejected was the fact that the Deed of Assignment was forged. It was discovered that some of the JPY did not exist and some had been applied by other companies. Also the Deed's signature by one Hiroyuki Sogabe was forged. This is the cause of Jitesh's war with the BoT management and his fellow Asian businessmen. Jitesh who is close to the Finance Minister, Zakia Meghji, has caused a lot of damage to Tanzania. He has tarnished the name of our country through almost all media houses such as Times and Africa Confidential and all local newspapers using some corrupt local and foreign senior reporters and editors who frequent his offices at Golden Tulip Hotels.

The same Jitesh Ladwa started attacking our fellow Asians, including Jeethu Patel because Jeethu had turned down his request for money. Instead, he compromised with Tanzania's KING maker, Rostam Aziz who gave some of his cut to Jitesh and that's why although Rostam received the EPA funds he's not mentioned anywhere in Jitesh's emails. In fact, in Tanzania we have two governments, one under Jakaya Kikwete and the other under Rostam Aziz. Rostam Azizi's government seems to be more powerful than Kikwete's because his government (comprising of corrupt businessmen) has the money which is badly needed by CCM. What we see here is that Jitesh is trying to scandalize the government and the BoT because he is highly indebted by many financial institutions ie: IFC-----($6 million), EuroAfrican Bank (Tsh 1 billion) and Barclays Bank ($2 million). All the hotels, Golden Tulip and Karibu Hotels are mortgaged. Surprisingly enough, Jitesh is using his friend Hosea to threaten the bank s.

Tanzanians must watch out:

The secret agenda why Asians are fighting for political posts is to get information from the government and how they can influence such decisions.

Ordinary Tanzanian may ask why in the EPA there was NO black Tanzanian

The next move is to make sure the year 2010, some Asian heavy weights enter the parliament i.e Yusuph Manji. Their number and of course their financial muscle, would make them powerful in the House, and eventually have the first Asian Speaker of the National Assembly.

What's needed is to make sure the government is deliberately empowering black Tanzanians otherwise poverty would continue haunting them and we will continue seeing the Sabodo's enjoying the money they swindled.

The so called BoT scam was carefully created in order to fool the public, but in fact this was an Asian business conflict affair.

Let the government form a probe committee to investigate the accumulated wealth of Mr Hosea, it would be discovered that he is "the most corrupt Tanzanian." Some of us are not in Canada because we love this country, but ran away from Hosea's threats.

One would ask, why all National Housing Corporation (NHC) joint projects go to Asians OR Why all concessions in the Serengeti go to Indians and Arabs? Did the Corruption boss, Hosea, took trouble to investigate?

And now the big scam:

The mother of all scams is in the making. This is the decision by the Tanzanian government to privatize half of the Serengeti National Park in what they call Concession for 99 years. The plan under the cover of the Tanzania National Parks Authority (TANAPA) includes all players in the major scandals in Tanzania. At the centre of the project, "The Serengeti National Park Privatisation Project," is Mr Paul Jones who has been commissioned to conduct a 'study'. We are informed that TANAPA is footing all travel, food and accommodation expenses for Mr Jones. Under the project, we have learnt that the US millionaire Mr Tudor James would construct a Presidential Lodge in the Serengeti. What a shame?

Hosea knows all this; and that corruption is involved in the whole deal, but he has not taken or initiated any investigation against TANAPA's management and its Directors because the engineers of this project had promised him a big cut once the project is endorsed.

In simple language, Tudor James owns TANAPA. Through lobbying by TANAPA's Board of Directors, while in New York recently, Kikwete met the Serengeti 'investor," Tudor James. With this friendship, (Tudor and Kikwete) it's now evident that Serengeti will be SOLD to an American tycoon

Tanserve Blog » TANBlog
 
- Siamini anything that was said by Hosea, nothing serious kwa mtu aliyekua anaongea free akiamini kwamba anayoyasema ni siri, infact yanaonekana ni maneno ya ujanja ujanja wa kikundi flani na sio yake mwenyewe, kwa kifupi kwa maoni yangu ilikuwa danganya toto tu ya kujaribu kuwazuga hao wazungu, nothing serious hapo!

- Hawa Mafisadi they are very good at ujanja ujanja people, tunahitaji kuamka usingizini, look what they did to Dowans, hivi umeshasikia kwamba Tanesco ilienda huko kwenye kesi bila kuiarifu serikali the owner wa Tanesco, I mean wananchi tusipoamka na hawa watu we are finished hili taifa!


William.

Mkuu nadhani huwa sometimes tuna-overestimate uwezo na utendaji wa some of these top govt officials. Have been in the same bandwagon before. Lakini kwa nilichokiona in the last 5 yrs, very likely Hoseah was speaking his own mind! His own very mind.
 
Mkuu nadhani huwa sometimes tuna-overestimate uwezo na utendaji wa some of these top govt officials. Have been in the same bandwagon before. Lakini kwa nilichokiona in the last 5 yrs, very likely Hoseah was speaking his own mind! His own very mind.

- Really? Which is?

William.
 
- Really? Which is?

William.


"He told us point blank ... that cases against the prime minister or the president were off the table ..." The cable then details allegations against former leaders and their inner circles, saying they would be "untouchable".

"He noted that President Kikwete does not appear comfortable letting the law handle corruption cases which might implicate top-level officials." The cable then says Kwitke "does not want to set a precedent" by going after any of his predecessors.

Sidhani hapa kuna janja janja ya maneno, very likely hivi ndivyo anavyo-perceive kuhusu mkuu wake na kuna ukweli ndani yake!
 
TAARIFA zilizovuja za mtandao wa Wikileaks, ambazo zilizotoka kwa Serikali ya Marekani, zimemgusa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa Tanzania (Takukuru), Dk. Edward Hoseah, na kwa haraka, amekanusha kuwa Rais Jakaya Kikwete amekuwa ni kikwazo cha utendaji wa taasisi hiyo, kama alivyonukuliwa humo.

Dk. Hoseah, anadai katika taarifa za mtandao huo zilizoripotiwa jana na gazeti la The Guardian la Uingereza kueleza kuwa Rais Kikwete alikuwa anakwamisha kuchunguzwa kwa vigogo wa serikali wanaotuhumiwa kwa vitendo vya rushwa, na pia madai kuwa anahofia maisha yake kama Mkuu wa Takukuru.

Katika taarifa yake kwa vyombo vya habari jana, Dk. Hoseah anakiri kukutana na ofisa wa Marekani ofisini kwake Julai 2007, lakini katika mazungumzo yake, anakanusha kuwa hakuna mahali popote alipoeleza kuwa Rais Kikwete alikuwa hataki sheria ichukue mkondo wake katika kuwachunguza vigogo wanaotuhumiwa kwa rushwa.

“Nilichosema ni kwamba Rais hataki kuruhusu uchunguzi wa maofisa waandamizi wa serikali au mtu yeyote yule kufanywa kwa kuegemea katika minong’ono au ushahidi dhaifu, kwa sababu kwa kufanya hivyo, serikali inaweza kuwa katika hatari ya kulipa fidia kubwa kama watuhumiwa watashinda kesi mahakamani,” alidai Dk. Hoseah katika taarifa yake jana.

Kuhusu madai ya ‘hofu ya maisha yake’, alisema anakumbuka kuulizwa na ofisa huyo kama anahofia uhai wake au la, akiwa ni Mkuu wa Takukuru, na kwamba jibu lake lilikuwa rahisi, “ndio, wakati unaposhughulika na vigogo au matajiri, ni lazima uwe mwangalifu na tahadhari na maisha yako.”

“Lakini hakuna mahali popote nilipotamka kuwa nina mpango wa kukimbia nchi kwa sababu maisha yangu yalikuwa hatarini. Ni jambo la kushangaza kwa mara nyingine, Ofisa huyo wa Ubalozi wa Marekani amenikariri kinyume na ukweli na sijui nia yake hasa ilikuwa nini.”

Dk. Hoseah alisema kupokea vitisho ni sehemu ya kazi yake kwa sababu anawachunguza watu matajiri na wenye nguvu, lakini kwa kuwa kila kitu kinafanyika kulingana na sheria iliyopitishwa na Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, “hakuna cha kuhofia sana kwa sababu kila kitu kiko katika sheria.”

Aliihakikishia jamii kwamba ingawa kazi yao ni ngumu, wataendelea na dhamira yao ya kupambana na rushwa katika ngazi zote kwa kushirikiana na wadau wote nchini.

“Tunaamini kwa pamoja tutashinda vita hii, lakini tukigawanyika, itakuwa kazi ngumu kufikia dhamira yetu.”
 
Bottom line alisema yaliyosemwa kwenye wikileaks but sivyo ambavyo afisa wa ubalozi amesema mh!!!! Something is missing somewhere!
 
Bottom line alisema yaliyosemwa kwenye wikileaks but sivyo ambavyo afisa wa ubalozi amesema mh!!!! Something is missing somewhere!

Nilishasema kuhusu tatizo hili la hawa wakuu wetu kukubali walichosema kwao ni mwiko!!!!!!!! Tumeshaona hata pale kwenye ushahidi wa wazi na sometimes video lakini bado mtu anakana kabisa alichokisema. In short he's saying he's taken out of context...........siasa kama kawa!
 
Nilishasema kuhusu tatizo hili la hawa wakuu wetu kukubali walichosema kwao ni mwiko!!!!!!!! Tumeshaona hata pale kwenye ushahidi wa wazi na sometimes video lakini bado mtu anakana kabisa alichokisema. In short he's saying he's taken out of context...........siasa kama kawa!

Ndio maana mkuu nikasema something is missing somewhere!!!
 
Mara ngapi watawala wengi nchini wanasema mambo baadae wakiulizwa wanakimbilia kusema wamenukuliwa vibaya?Yale yale.Hapo kuna neno lilitamkwa lakini kwa vile lilikuwa siri na leo tumetoboka then lazima akane.Ukweli utabakia ukweli.
 
TAKUKURu ndio wataalamu wenyewe, sasa mta mshuhudia vipi mtu kwa minongono? kiasi kwamba Raisi ambaye hana utaalamu wa Sheria nk ndio awe mshauri wenu katika mambo haya ya Lushwa?
Sema tu kikwazo katika hizi kesi ni ikulu
 
Back
Top Bottom