Wife

After marriage, husband and wife become two sides of a
coin; they just
can't face each other, but still they stay together.

-- Hemant Joshi

============================================
 
Wengine wamesave wake zao kwa jina la 'Kimeo', hivi kweli angekuwa kimeo ungekwenda naye kanisani au msikitini mkafungishwa ndoa? Chanzo cha hayo majina ni nini hasa? Au pale wanaume wanapopata vijibustani vyao ndo wanaona kuwapa wake zao majina ndo sifa!! Awali ni awali tu hakuna awali mbovu hilo mkumbuke siku zote!
 
Back
Top Bottom