Che Kalizozele
JF-Expert Member
- Jul 20, 2008
- 777
- 49
"complications" is a personal character not applicable to all women. Some women are decent!
to every generalization,there is an irregularity.
"complications" is a personal character not applicable to all women. Some women are decent!
"Complications" is a personal character not applicable to all women. Some women are decent!
"Complications" is a personal character not applicable to all women. Some women are decent!
kwa kweli hawa wadudu kakananii wakati mwingine wanatia kichefuchefu. sijui wana mapepo! wakati mwingine unaweza ukashindwa kuwaelewa kabisa. waweza kumpa kila kitu na kumheshimu lakini asikuelewe. hawa viumbe ni wa ajabu sana kusema kweli.
kipanga its all a matter of choise baba,How was the zawadi?(not the price) and how did you present it?
women are selective species and sentitive to taste, take time to know the feminine taste: dont think a 2000UDS necklace will amaze any woman, no way !its a matter of how it is (according to your lady),how to present it. Just read her motives, tastes , moods(according to hormonal changes) and your world will be paradise.
Its very funny every woman complains that men are unhandled creatures, men too say women are unhandled species! reminds me of the old swahili saying Nyani haoni kundule.... we are all incomplete, it all depends with our efforts to make the other mate complete and not to point out the incompleteness of someoneelse. If your man/woman is complicated then you have to do something (everyone has a homework here) to make it right.
kipanga its all a matter of choise baba,How was the zawadi?(not the price) and how did you present it?
women are selective species and sentitive to taste, take time to know the feminine taste: dont think a 2000UDS necklace will amaze any woman, no way !its a matter of how it is (according to your lady),how to present it. Just read her motives, tastes , moods(according to hormonal changes) and your world will be paradise.
Its very funny every woman complains that men are unhandled creatures, men too say women are unhandled species! reminds me of the old swahili saying Nyani haoni kundule.... we are all incomplete, it all depends with our efforts to make the other mate complete and not to point out the incompleteness of someoneelse. If your man/woman is complicated then you have to do something (everyone has a homework here) to make it right.
Habari zenu jamani !
Kuna swala moja huwa linanitatiza sana kuhusu hawa wanawake hususani katika maswala ya mahusiano !
Yaani wengi wao niliobahatika kukutana nao wana-compilications za ajabu ajabu tu.Yaani inafikia mahala huwezi jua anataka nini au kachukia kipi. Ilimuradi ni vurugu tu !
Hivi kwa nini wanawake wanakuwa hivyo ???
pole kipanga just talk out your feelings, tell her ur disapointed. She will learn from her mistakes. by the way si bado mchumba ? ndio muda wa kuchunguzana/kurekebishana tabia mdogo wangu,usichoke kumrekebisha: otherwise she maynot be your perfect match.
..Kinyau, mimi ni mtu matured nafahamu jinsi gani nipresent zawadi kwa mpenzi wangu bila kujali imenighalimu kiasi gani? Nilichofanya nilinunua zawadi kwa kum-surprise...Perfume nikiamini kabisa hata anapojipulizia akisia kale kaharufu kazuri definately itamkumbusha mpenzi wake..Najua kuna style mbali mbali za kumpa zawadi mpenzi wako kulingana na wewe unavyodhani inafaa lakini ni katika njia ya upendo na kiuungwana tu...Honestly, siku hiyo hata mchezo sikutaka kuomba kwani sikuamini kama kweli binti was serious au la na alichonijibu...
Jichunguze labda mwenye complication kibao ni wewe mkuu. Haiwezekani wanawake wote uliobahatika kukutana nao wakawa complicated.
...You might be right kinyau. Kitu kinachonipa tabu wakati akigundua kama umechukizwa na jambo fulani ni mwepesi sana ku-appologize tena huwezi kuamini. Kama siku hiyo baada ya kuboreka na alichonifanyia niliamua kuondoka kwenda nyumbani kwangu, huwezi kuamini saa 5 usiku nasikia nagongewa mlango na maswali kibao, mbona umetoka safari umepitiliza kwenda kwako ina maana ulipokuwa zanzibar hukunimiss au ulipata mtu so u' don't feel like having me here?
Na hii hali imeshatokea mara nyingi anapogundua amechemka kitu fulani ni mwepesi sana kuomba msamaha ingawa wakati mwingine nadhani hayuko serious...Ni kweli ndio ambaye nategemea atakuwa "my wife to be" but nafikiria kumtafutia mgombea mwenza ili nikihisi ananizingua natereza tu taratibu...lakini nampenda sana kiasi kuna wakati zikipita siku mbili bila kumuona inakuwa ngumu kidogo but i need to be flexible this time!!!!
haya maswala ya wanaume na wanawake kikubwa ni tofauti tu zilizoko kati yetu...wanawake wakikueleza hapa jinsi wanaume wanaume walivyo complicated utaamini kabisa hakuna complicated kuwashinda..wanaume nao wakitoa ya kwao pia ni hivyo hivyo
kwa mfano nimeshasikia wanawake (mama wa nyumbani) wanaolalamika waume wao hawaachi hela ya matumizi halafu wakirudi nyumbani jioni zogo kali kabisa eti wanataka kupikiwa nyama si maharage
As stated on post no. 32, this is likely to happen if you do not understand your man.
.
..Mi nilitoka safari ya kikazi Zanzibar last week nikaamua nimnunulie kazawadi mchuchu tena kalinitoboa mfuko kiasi chake angalau nimpelekee mpenzi.. nilichokutana nacho niliboreka sana. ananiambia bora hiyo pesa ungenipa mwenyewe ningeenda kutafuta ninachotaka huko madukani kuliko hili zagazaga uliloniletea..Nikamwambia mama kwa kweli umenidissapoint sana sidhani kama nitadiriki kukunuliwa zawadi tena kama mambo yenyewe ndio haya...Zawadi ni zawadi tu ni kuonyehs jinsi mtu anavyojali..!!!!