zaleo
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,902
- 764
Source: Yaoo network
WHY A STUDENT FAILS ?
Repeated. Ilishakaa hapa.
Tuwe tunasoma kabla ya ku copy n paste jamani tujanaza jukwaa
Repeated. Ilishakaa hapa.
Tuwe tunasoma kabla ya ku copy n paste jamani tujanaza jukwaa
Yap ! Ubunifu unahitajika zaidi.
Wewe ndio umechoka akili kweli! Hata daladala unayopanda tayari wengine wengi wameishaipanda. Gari kupandwa na wengine haikuzuii nawe kupanda. Wapi umesikia daladala imejaa? Acha uhuru wa watu uendelee kufaidiwa. Huyo mleta hoja hakusema ni original ya kwake bali imepatikana kwingineko, walioisoma unayoisema heri yao, lakini wengine hawakuiona na hii ni mara yao ya kwanza. Ungeweka mbadala wako sasa ajifunze huyo unayemkatisha tamaa. Zaleo karibu ukumbini, lete habari wala usikate tamaa. Ndivyo walivyo humu ndani, wanataka wasikilizwe wao tu watu fulani. Miaka 50 ya Tanganyika ikomeshe haya, tuachane kabisa na "Zidumu fikra za peke yake yuleyuleeeee!"
Fine, mnapungukiwa nini kuachana nayo kama umeshaiona? Mbona misikitini na makanisani yanarudiwa maneno yaleyale na husemi watajaza maneno masikioni mwa watu? Au tuseme hoja iliyoletwa ina madhara gani? Kurudiwa huenda ndio msisitizo wa mafunzo yaliyoko ndani yake kwa watu wa aina zenu. Mbona hupati mia sasa kama ulipoiona mara ya kwanza ilikufunza akili ukomae na kubadilika?
Unless beyond saturation point, the more one hears a word the more it becomes cllearer for massive assimilation, pending no distract factor is coined during that course.
Repeated. Ilishakaa hapa.
Tuwe tunasoma kabla ya ku copy n paste jamani tujanaza jukwaa
Repeated. Ilishakaa hapa.
Tuwe tunasoma kabla ya ku copy n paste jamani tujanaza jukwaa
kuna wengine wamejiunga juzi mkuu na hawakuona kitu,kwahiyo hata wewe unaopocomment unajaza jukwaaRepeated. Ilishakaa hapa.
Tuwe tunasoma kabla ya ku copy n paste jamani tujanaza jukwaa
Swafi kabisa kaka, mpe mambo huyo anaye sema repeated,kwan hajui kuna member wapya kila cku!! Kama mimi....zaleo komaa kaka ikiwezekana irudie tena baada ya wiki 1.Ama kwel kuna akil hazina akil!
Yap ! Ubunifu unahitajika zaidi.