PakaJimmy
JF-Expert Member
- Apr 29, 2009
- 16,203
- 8,725
Unajua mhandisi anaweza kuwa mhasibu, mwanasheria, mwandishi wa habari, mkuu wa mkoa, refarii, jenerali wa jeshi, lakini hao wote hawawezi kuwa wahandisi, labda wapate kibali toka kwa Mungu! Unafanya mchezo na makalkulesheni?
Refer on my signature (down here) for the conclusion on your above observation!