vanilla
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 448
- 356
- Thread starter
- #41
ni kweli wanaume wengi wanaogopa sana kuoa wanawake wazuri koz wanakua wanafatwa sana (wanatongozwa sana)
kwenye black uko zaidi ya sahihi mkuu na iyo ndio huwasababisha hata wasiolewe na kubakia kua vimada wa mapedeshee wa town
correction,sio kila asiyeolewa anabaki kuwa kimada wa mtu.sio kila mtu ni tegemezi take note of that.