vanilla
JF-Expert Member
- Apr 19, 2012
- 448
- 356
Habari zenu wapenzi. . .to be honest i micd jf kwa siku mbili hizi
Okey back to topic, why do most men feel inferior toward beautiful ladies? Mind me hapa nazungumzia wadada wenye uzuri wa asili na anayejikip smart sio wale wa kubandika kope.Yani jamani mkiona mdada mzuri (sio urembo wa dukani) ,smart,anayejipenda yani hata kimavazi tu anajitahidi kupendeza mnaogopa kumuapproach assuming that atakuwa ana gharama sana na hutaweza kumudu. Kwanini inakuwa hvyo? Mnataka mwanamke aweje ili uone kwamba you can afford to be with her? This inferiority thing inazibia wengi kwakweli.hebu fungukeni ili tusije tukawa hatuolewi kisa kuonekana wa gharama sana.
Okey back to topic, why do most men feel inferior toward beautiful ladies? Mind me hapa nazungumzia wadada wenye uzuri wa asili na anayejikip smart sio wale wa kubandika kope.Yani jamani mkiona mdada mzuri (sio urembo wa dukani) ,smart,anayejipenda yani hata kimavazi tu anajitahidi kupendeza mnaogopa kumuapproach assuming that atakuwa ana gharama sana na hutaweza kumudu. Kwanini inakuwa hvyo? Mnataka mwanamke aweje ili uone kwamba you can afford to be with her? This inferiority thing inazibia wengi kwakweli.hebu fungukeni ili tusije tukawa hatuolewi kisa kuonekana wa gharama sana.