Mm nashindwa mumkatalia X wangu maaana sikuwahi kumchukia. Akitaka nampa .Kwake yeye hacheat .
Cheating is so sweeeeeeeeeeeet!
Men do not cheat....women do!
Rule Number?
tena wewe km ungekuwa haujaoa ndo ingekuwa vzur yan ningekunyuka mara 3 kwa siku km dozKumbe haujaolewa okay subiri uolewe basi, uanze pia kumdunda kabla hajakuoa sawa mama
wapi katibu? Leta makabrasha hapa, kuna mwanachama anataka kanuni!
Inshort, mwanaume akitoka nje ya ndoa, anakwenda kutimiza wajibu wake wa kutekeleza kanuni za nature, ila mwanamke akitoka thats 100% cheating! Anatafuta nini huko nje wakati ana mpingo wake nyumbani?
na wewe si una bakuli lako nyumban...
kama wanaume tusingewapenda mademu uzinzi usingekuwepo.tatizo tunawpenda ..love ... Hata kama ni kwa siku moja . Hiyo love inasukmwa na kitu alichoumba mwenyezi mungu ndani mwetu. Wengine wakiita tamaa ya mwili , mimi huiita natural love power . Too natural for men to love women .
As long as men and women are there, cheating will never end.
hivi hapa tunajadiliana nini wakuu?:A S 13:
tena wewe km ungekuwa haujaoa ndo ingekuwa vzur yan ningekunyuka mara 3 kwa siku km doz
na ndomana ntaolewa na mtu mwembamba asiyezd kg 30!!!manake naona vilio vng uko ndoani na masuluhisho haba!!!!!!!
hivi hapa tunajadiliana nini wakuu?:A S 13:
tena wewe km ungekuwa haujaoa ndo ingekuwa vzur yan ningekunyuka mara 3 kwa siku km doz
na ndomana ntaolewa na mtu mwembamba asiyezd kg 30!!!manake naona vilio vng uko ndoani na masuluhisho haba!!!!!!!
Nitawafahamisha makatibu wangu wanakili na hio pia maana kunyukana mara tatu kwa siku its even recommended by doctors
uko sawa kabisa nimesahau hii inaweza ikawa sabbabu ya kutoka nje,,kuna watu bila 4*1 awawezi lala unakutawenzao wamezaliwa kwa ajili ya 2* 1 inakuwa shida..hivi wanandoa kulambana madhabahuni nayo dhambi??