Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,906
- 22,052
--una roho ya uzinzi??
--mkeo/mumeo kakuudhi??
--una laana ya kutoka nje ya ndoa kwenu??
--ukuwa umejiandaa kuoa/kuolewa sasa cha moto unakiona??
Goodmorning
najua na mengine mengi tu yawezekana wewe ni muathirika wa kutoka nje ya ndoa....ndugu zangu leo hii tuanze kuangalia jinsi gan ya kutatua matatizo ya watu ili tuwe na baraka majumban mwetu..akuna anaependa kuona wanandoa wakiwa kwenye magari wakiangalia opp sied like if jaman nafika saa ngapi...ni kweli atukatai ndoa ni nzito na ngumu na inaitaji swala la commitment kweli na si kuoa ama kuolewa sababu babu bibi amezeeka asife bila kumuona mjukuu wapo wanaooa kwa sababu ndugu wote wameoa ama kuolewa bado yeye,wapo wanaofunga ndoa sababu ya kutoa GUNDU kwenye familia yaani kwao akuna aliewahi kusikia ndoa wote wanazalishwa/wanazalisha majumban mwao na kuendelea kuishi bila ndoa wachilia kubariki hata baada ya kujifungua....lakini je haya yote yanatulazimu kucheat na hili ndio soln ya ndoa yenye matatizo..la hasha kwenu wapendwa binafsi naomba nianze kwa kusema kucheat sio soln ya shida zilizopo kwenye ndoa..zitabaki hiyo hivyo na haziishi zaidi ya kuongeza matatizo anyway sihukumu kwa kucheat la hasha Lengo ni kupata sabbu za kucheat ba ukiwa kama mwanandoa angalia sababu hizi na uangalie tutasaidianaje kuachana na kucheat....
--mkeo/mumeo kakuudhi??
--una laana ya kutoka nje ya ndoa kwenu??
--ukuwa umejiandaa kuoa/kuolewa sasa cha moto unakiona??
Goodmorning
najua na mengine mengi tu yawezekana wewe ni muathirika wa kutoka nje ya ndoa....ndugu zangu leo hii tuanze kuangalia jinsi gan ya kutatua matatizo ya watu ili tuwe na baraka majumban mwetu..akuna anaependa kuona wanandoa wakiwa kwenye magari wakiangalia opp sied like if jaman nafika saa ngapi...ni kweli atukatai ndoa ni nzito na ngumu na inaitaji swala la commitment kweli na si kuoa ama kuolewa sababu babu bibi amezeeka asife bila kumuona mjukuu wapo wanaooa kwa sababu ndugu wote wameoa ama kuolewa bado yeye,wapo wanaofunga ndoa sababu ya kutoa GUNDU kwenye familia yaani kwao akuna aliewahi kusikia ndoa wote wanazalishwa/wanazalisha majumban mwao na kuendelea kuishi bila ndoa wachilia kubariki hata baada ya kujifungua....lakini je haya yote yanatulazimu kucheat na hili ndio soln ya ndoa yenye matatizo..la hasha kwenu wapendwa binafsi naomba nianze kwa kusema kucheat sio soln ya shida zilizopo kwenye ndoa..zitabaki hiyo hivyo na haziishi zaidi ya kuongeza matatizo anyway sihukumu kwa kucheat la hasha Lengo ni kupata sabbu za kucheat ba ukiwa kama mwanandoa angalia sababu hizi na uangalie tutasaidianaje kuachana na kucheat....