Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,822
Jinsi wanawake wanavyocheat!
Jinsi wanaume tunavyodumisha mila
:A S 109::A S 27::A S 27::hand:
Jinsi wanawake wanavyocheat!
Jinsi wanaume tunavyodumisha mila
Nature
--una roho ya uzinzi??
--mkeo/mumeo kakuudhi??
--una laana ya kutoka nje ya ndoa kwenu??
--ukuwa umejiandaa kuoa/kuolewa sasa cha moto unakiona??
Goodmorning
najua na mengine mengi tu yawezekana wewe ni muathirika wa kutoka nje ya ndoa....ndugu zangu leo hii tuanze kuangalia jinsi gan ya kutatua matatizo ya watu ili tuwe na baraka majumban mwetu..akuna anaependa kuona wanandoa wakiwa kwenye magari wakiangalia opp sied like if jaman nafika saa ngapi...ni kweli atukatai ndoa ni nzito na ngumu na inaitaji swala la commitment kweli na si kuoa ama kuolewa sababu babu bibi amezeeka asife bila kumuona mjukuu wapo wanaooa kwa sababu ndugu wote wameoa ama kuolewa bado yeye,wapo wanaofunga ndoa sababu ya kutoa GUNDU kwenye familia yaani kwao akuna aliewahi kusikia ndoa wote wanazalishwa/wanazalisha majumban mwao na kuendelea kuishi bila ndoa wachilia kubariki hata baada ya kujifungua....lakini je haya yote yanatulazimu kucheat na hili ndio soln ya ndoa yenye matatizo..la hasha kwenu wapendwa binafsi naomba nianze kwa kusema kucheat sio soln ya shida zilizopo kwenye ndoa..zitabaki hiyo hivyo na haziishi zaidi ya kuongeza matatizo anyway sihukumu kwa kucheat la hasha Lengo ni kupata sabbu za kucheat ba ukiwa kama mwanandoa angalia sababu hizi na uangalie tutasaidianaje kuachana na kucheat....
finest and mfamaji n others who are into the nature concept..ni kama mnapingana na MUNGU kwamba kuna uzinzi na uasherati,wen God created you alikupa only one kathing and that means ni kwa mmoja kaka lasivyo angekupa mia,.cheating is both sides ila most men have lost their screws that make them human beings,kuna tofauti kubwa kati ya mwanadam na mnyama,so unature wa mwanaume utaly kwenye taking care of his family co kusaidia kuridhisha wengine..fear God...P.DIDDY U SAID SMTHINGS SO GOOD,THNX
my dear FL1
hii ni kwa maombi huku akitumia juice ya alovera yenye kopo la rangi ya njano usiogope bei inasaidia kuweka brain stable kwa ajili ya mitikisiko ya ndoa, naona hata tukimjazia neema za ndoa atabaki na nature na anapoelekea atakwambia MR II Baada ya nature,ngoja tusubiri ma dear wengine tutajazia
Men do not cheat....women do!
Mi huwa nachaet tu, sijui kwa nini...
to spice up your relationship /your marriage, having sex with more than one woman is an ego boost for those with low self-esteem.
Jamani wanandoa muache uzinzi mtaua wenzi wenu. sababu ya kuwa mbali na mwenzio isiwe kikwazo. mfano mimi ni msichana lakini nimekaa miaka 2 bila kukutana na mwenzi wangu na cjacheat. na si kwamba wanaume hawanifuati wanakuja wengi sana ila sina interest na kwanza naona kero tu. kwann ucheat wakati unae mwenzi wako?
the only solution ni kuchange yourbrain frequency(kama radio hahaaaa) towards kucheat. hakuna cha nature wala nn. JUS SAY NO TO TAMAA ZAKO VIZURI VIPO VINGI JAMANI NA HAVIISHI KILA CKU WANAONGEZEKA KWA UZURI
Hebu nipe contacts zako........watu tunahangaika hapa kumbe kuna watu kama ninyi. Yaani hapa mama hakuna kuchit ni wewe tu bimdogo na my wifeuzinzi tu ndo unawasumbua hamna lolote,
ulimbukeni wa kushindwa kucontrol tamaa za kimwili,
kutoka nje ya ndoa yako takatifu ni ushamba,period!
Hebu nipe contacts zako........watu tunahangaika hapa kumbe kuna watu kama ninyi. Yaani hapa mama hakuna kuchit ni wewe tu bimdogo na my wife