KOKUTONA
JF-Expert Member
- Jan 29, 2011
- 8,649
- 6,088
mmmh! father kwa maana ya baba ama father kicheo kwamba he did a lot? to me bado nabaki kusema kwamba kile chenye mchango mkubwa kwenye maisha ambacho leo hii ndicho msingi wa maisha basi muasisi wake ndo angefaa kuwa baba kitu hicho ni atom so sequence hii inaonyesha seniority Planck, Einstein, Bohr, and later de Broglie, Heisenberg, Schro¨ dinger, Dirac, Pauli,and Born. Anyways niko tayari kurekebishwa. i love physics aisee.............
Mwalimu gfsonwin unafundisha masomo gani?