pappilon
JF-Expert Member
- Jan 27, 2015
- 3,192
- 3,556
Huyu jamaa no shida jumapili hii nenda utakuja kutuambia
Sipo arusha mkuu ila natamani sana siku nikiwa huko niende kwa kanisa lake...
Kuna rafiki yangu alisemaga channel ni nabii wa uongo....habari zikamfikia channel akasema apewe namba yake ampigie anene maneno matatu tu jamaa afe....nilichoka kweli kweli kama mtumishi wa Mungu anaweza kusema eti aombe mtu afe...kwani Mungu ni muuaji??kweli tuna haja ya kuwa makini na hawa wanaojiita manabii..