kumbe upako kaupata kutoka kwa TB Joshua?
Ni nani anayemjua vyema huyu ndugu?
Nasikia ni Nabii
je huduma yake ipo wapi ?
=============
============[/QUOTE
ALIMPORA MKE WA MUUMINI WAKE, KIJANA MOJA DEREVA WA TOURS, MTOTO WA MZEE LOTA PALE SAKINA, MKEWE ANAITWA PAMELA
Hii ya kupora mke wa muumini wake ilivuma sana Arusha. Nasikia mpaka mumewe alichanganyikiwa.
manabii siku hizi, hawa ni kama timu! simba au yanga 'man u au 'man city, usawa wa sadaka mbele tembea.......Sio hivyo tu, alikuwa na kanzu ngapi? Hata punda hakumiliki zaidi ya kuomba
Mimi sio muumini wa huyu jamaa. Na sijawahi kwenda kwenye ibada wala mkutano. Lakini nimewahi msikiliza kwa makini kwenye radio yake. Hasa kipindi chake cha maswali na majibu siku ya j5 kama sikosei. Jamaa anajua sana biblia na dini kupita maelezo. Ni zaidi ya unanifikiria. Kwa hilo I salute him. Sasa hayo ya nguvu za giza mi sijui kwa sababu hakuna anaweza thibitisha. Jamaa yuko vizuri sana
Wote wanaoonekana kwenye TVumemlinganisha na Nabii yupi ukamuona kuwa yuko vizuri!
Jambo usilolijua ni Kama usiku Wa giza