Malikia wa Nguvu 2024: Flavian Matata ni malikia wa Nguvu na wa Heshima

Robert S Gulenga

JF-Expert Member
Jan 3, 2013
2,161
1,493
Ni miaka nane sasa imefika toka kuazishwa kwa tuzo hizi za heshima kwa kutambua mchango wa Malikia wa nguvu katika Jamii.

Hongereni wote waliopata jana, walistahili.

Kwa kuwa Clouds Media ni Chombo kikubwa, ikiwapendeza mwakani shirikianeni na mkuu Maxence Melo na JF kufikia Malikia wengi wanaofanya vizuri.

Kwa mwaka huu wapo wengi waliofanya vizuri, ikiwa ni pamoja na waliopata tuzo, ila yupo pia Flavian Matata akiwa na Taasisi yake ya FMF.

Kwa uchache saana, ila amefanya makubwa kwa Watoto wa kike.

1. Amejenga matundu ya vyoo katika baadhi ya shule za Sekondari mfano ni shule moja huko Njombe amejenga matundu ya vyoo 12, chumba cha Wanafunzi wenye mahitaji Maalum.

2. Ameshirikiana na Taasisi za Serikali kujenga nyumba za Walimu.

3. Kuna Watoto wengi wanasomeshwa/ kupata mahitaji ya shule kupitia FMF

4. Katika Biashara yake ( not sure na product yake) asilimia 10 ya kinachouzwa kinaenda FMF kusaidia watoto wa kike.

5. Anaendelea kugawa Pedi na kutoa Elimu kwa Watoto wa kike kuhakikisha hawakatishi masomo kwa changamoto zozote zile.

6....

Hongera Clouds Media na Kusaga kwa kuendelea kuthamini Mchango wa Wanawake katika kuendeleza Taifa la Tanzania.

Hongera Malikia wote wa nguvu, na Mwenyezi Mungu awabariki saana.

Hongera Malikia wa nguvu namba moja, Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa kuhakikisha miradi yote ya Maendeleo inatekelezwa.

Mungu ibariki Tanzania
 
Ni jambo zuri.
Japo kuna mambo mengine yanatia aibu sana. Kweli kujenga matundu ya vyoo ni kitu cha kusubiri mdhamini aje, wazazi nao ifike hatua waone aibu. Unapelekaje mtoto shule isiyo na vyoo na huku mnakaa nyumba zenye vyoo?

Kwel hata kuchangishana tu mjenge wemyewe kwa manufaa na usalama wa afya za watoto wenu wenyewe mliowazaa mnaona kama ni big deal mpaka msubiri wadhamini au serikali ifanye hayo?

Kwel ujamaa ulitu athiri kwa kiasi kikubwa sana.
 
Ni jambo zuri.
Japo kuna mambo mengine yanatia aibu sana. Kweli kujenga matundu ya vyoo ni kitu cha kusubiri mdhamini aje, wazazi nao ifike hatua waone aibu. Unapelekaje mtoto shule isiyo na vyoo na huku mnakaa nyumba zenye vyoo?

Kwel hata kuchangishana tu mjenge wemyewe kwa manufaa na usalama wa afya za watoto wenu wenyewe mliowazaa mnaona kama ni big deal mpaka msubiri wadhamini au serikali ifanye hayo?

Kwel ujamaa ulitu athiri kwa kiasi kikubwa sana.
Vyoo vilivyoo jengwa ni vyoo vya kisasa kabisa, kwa sababu ya Sheria za JF na mimi sio msemaji wa huyo dada sitaweka picha, lakini unaweza kufuatilia ukaona..amejenga vyoo bora kabisa vya kisasa kama vinavyojengwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
 
Ni jambo zuri.
Japo kuna mambo mengine yanatia aibu sana. Kweli kujenga matundu ya vyoo ni kitu cha kusubiri mdhamini aje, wazazi nao ifike hatua waone aibu. Unapelekaje mtoto shule isiyo na vyoo na huku mnakaa nyumba zenye vyoo?

Kwel hata kuchangishana tu mjenge wemyewe kwa manufaa na usalama wa afya za watoto wenu wenyewe mliowazaa mnaona kama ni big deal mpaka msubiri wadhamini au serikali ifanye hayo?

Kwel ujamaa ulitu athiri kwa kiasi kikubwa sana.
Ni jambo zuri Jamii kushiriki katika shughuli za Maendeleo..
 
Claudisi efemu ni chama kuu la machawa,kaziyao kujipendekeza kanakwamba wanabiznez haram.
Huwezi kupata akili ya maana Kwa kusikiliza claudisi ... Pale ni umbea,uchawa ndomana kunawatangazaji wamabange etc.
Eti mtangazaji kwenye tivii laivu anaingiza vidole puani na kupekecha makamasiii🤣🤣🤣 samu bana
 
Ni jambo zuri.
Japo kuna mambo mengine yanatia aibu sana. Kweli kujenga matundu ya vyoo ni kitu cha kusubiri mdhamini aje, wazazi nao ifike hatua waone aibu. Unapelekaje mtoto shule isiyo na vyoo na huku mnakaa nyumba zenye vyoo?

Kwel hata kuchangishana tu mjenge wemyewe kwa manufaa na usalama wa afya za watoto wenu wenyewe mliowazaa mnaona kama ni big deal mpaka msubiri wadhamini au serikali ifanye hayo?

Kwel ujamaa ulitu athiri kwa kiasi kikubwa sana.
Ukiona shule Taasisi haina choo basi ujue huko wanakoishi watu wanaozunguka taasisi husika hali ni mbaya zaidi.

Haya niliyashuhudia wilaya ya Hanang nadhani hali ipo hivyo nchi nzima
 
Vyoo vilivyoo jengwa ni vyoo vya kisasa kabisa, kwa sababu ya Sheria za JF na mimi sio msemaji wa huyo dada sitaweka picha, lakini unaweza kufuatilia ukaona..amejenga vyoo bora kabisa vya kisasa kama vinavyojengwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Sawa. Sasa kama mtu mmoja tu anaweza akajenga hizo vyoo za kisasa, wazaz kwa umoja wao wanashindwa nini kufanya haya masuala kwa pamoja?
 
Ukiona shule Taasisi haina choo basi ujue huko wanakoishi watu wanaozunguka taasisi husika hali ni mbaya zaidi.

Haya niliyashuhudia wilaya ya Hanang nadhani hali ipo hivyo nchi nzima
Bas hili ni tatizo katika mifumo yetu ya kiuongozi.
Maana huwez niambia mkuu wa wilaya au hata mwenyekitu wa kijiji tu akshindwa ku mobile watu wafanye fund rising ili kuboresha mazingira ya watoto. Kama watu wanachangia ujenzi wa makanisa na misikiti iweje haya yashindikane?
 
Back
Top Bottom