Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,706
mwaka huu unalo mpemba.......kiti kishalowana hicho amka ujiangalie.....Sasa hii thread imeshaingiliwa na lida wa ze utamu Yo Yo. Wangeleta wengine hii list ya kamanda Liyumba ungeona anavyobwabwaja.
Nways tatizo la wabongo wakishapata exposure kidogo kazi yao ni kupondea tu...lakini ukiangalia kwa undani tatizo lao ni kawivu ka-kike. Eti mwingine anaifananisha hii party na ya P.Diddy my a$$..kama mmekosa nauli ya kurudi bongo semeni sio mnapondea tu..