which programming language to start with?

chilubi

JF-Expert Member
Sep 21, 2011
8,182
6,216
Habari zenu wakuu,
Nataka kujifunza programming language kidogo, its my hobby and also i have plans. Sasa nimeanza kwa kutaka kujifunza JAVA, ebana hii kitu i dont think kama ni nzuri kwa beginners maana inachanganya kisha ukiwa katika development enviroment ndo kabisa nlikua naona marue rue, maana sijui mpaka uimport functions ambazo hata sijui uzitoe wapi, ilimradi ngoma nimeanza kuiona ni ngumu. Nilikua natumia netbeans.
Nahitaji kujua kutengeza application za android, nikaona nijifunze java lakini ndio hivo. Hivi kuna alternative yoyote ile? I mean which language is the best to learn for beginners?
 
Habari zenu wakuu,
Nataka kujifunza programming language kidogo, its my hobby and also i have plans. Sasa nimeanza kwa kutaka kujifunza JAVA, ebana hii kitu i dont think kama ni nzuri kwa beginners maana inachanganya kisha ukiwa katika development enviroment ndo kabisa nlikua naona marue rue, maana sijui mpaka uimport functions ambazo hata sijui uzitoe wapi, ilimradi ngoma nimeanza kuiona ni ngumu. Nilikua natumia netbeans.
Nahitaji kujua kutengeza application za android, nikaona nijifunze java lakini ndio hivo. Hivi kuna alternative yoyote ile? I mean which language is the best to learn for beginners?

Anza na C language maana language zote base yake iko kwenye C then baada ya hapo ndo uanze OBJECT ORIENTED PROGRAMS(OOPS) kama C++ na zingine,JAVA nayo inabidi uanze na basic JAVA then ndo uende advanced JAVA ambayo itakupa upeo wa kuanda hizo application,unahitaji kujipanga vizuri C language ya msingi kuimaster coz ukiiweza hiyo remaining language hazitakupa tabu sana.
Ushauri wangu jipange vizuri maana hizo language siyo kiswahili ziko tight ila ukijipanga fresh utafanikiwa
All da best!
 
inategemea unataka kutengeneza program za aina gan. Kama unataka kutengeneza application za kawaida anza kujifunza BASIC tena jifunze Visual Basic.Net kwa sababu kama jina lake lilivyo BASIC(Beginners All Purpose Symbolic Instruction Code) au Python. Kama unataka kutengeneza OS au program web browser basi jifunze C++ au Visual C++
 
Mmmh I dont think starting with C might be a major problem but ol I know as far as back u can master HTML ambayo its easy then go C language which makes majority exploits and makes some powerful hacking program+viruses then go in a series as Satellite posted thea above.
 
sio kama naiogopa C/C++ hapana. Ninaelewa uwezo mkubwa ulionazo program hizi na program zenye nguvu ambazo ni zao la hizi language mfano Windows 95 imetengenezwa kutumia C++. Language kama C na C++ ni nzuri kama mnafanya programming as a team kila m2 ana deal na part flan ya program kama sivyo utaumiza kichwa na utatumia muda mwingi sana kwa mfano program utakayotengeneza kwa wiki 1 katika Visual Basic unaweza kutumia miezi hata 6! katika Visual C++ . Achana na akina C we jifunze VB utaona raha.
 
My view: Anza na scripting language ya PHP(provided kwamba tayari una knowledge ya HTML). Itakuintroduce kwa vitu vingi ambavyo viko similar na languages nyingine. From PHP ndio nenda kwenye languages nyingine like visual Basic, C , Java ,etc.
 
Anza na C language maana language zote base yake iko kwenye C then baada ya hapo ndo uanze OBJECT ORIENTED PROGRAMS(OOPS) kama C++ na zingine,JAVA nayo inabidi uanze na basic JAVA then ndo uende advanced JAVA ambayo itakupa upeo wa kuanda hizo application,unahitaji kujipanga vizuri C language ya msingi kuimaster coz ukiiweza hiyo remaining language hazitakupa tabu sana.
Ushauri wangu jipange vizuri maana hizo language siyo kiswahili ziko tight ila ukijipanga fresh utafanikiwa
All da best!

Asante sana kwa ushauri
 
Napenda kuwashukuru nyote mlionisaidia katika mawazo, kwa kweli michango yenu yote mizuri.

By the way VISUAL BASIC naskia ni mambo ya kudrag and drop and program ilotengenezwa na VB ni easy kuwa exploited!
 
Napenda kuwashukuru nyote mlionisaidia katika mawazo, kwa kweli michango yenu yote mizuri.

By the way VISUAL BASIC naskia ni mambo ya kudrag and drop and program ilotengenezwa na VB ni easy kuwa exploited!

ni language nyingi zinasupport drag n drop mf. utahitaji kuchukua button na kuiweka unapotaka hata VC++ ni hivyo. Kuhusu program kuwa exploited hapo inategemea techniq zako. Kila program iliyotengenezw kw language yoyote inaweza kuwa cracked mbona OS zinakrakiwa...
 
Start with the theory of introduction to software development to understand the meaning of java data types, variables, reserved keywords, symbols used etc ukishamaliza start with JCreator (is a java platform) to create basic applications (file processing) eg. program to calculate summation, product, string manipulation, use of different kinds of loops etc JCreator is a friendly language to beginners..it has simple syntax & error handling features.

Once you'd mastered Jcreator then move to netbeans, rewrite everything you did in JCreator to netbeans.. once you have done that then start to think of OOP with netbeans.. do theory of OOP starting with basic definition of class, object, parameters, inheritance, polymorphism etc then start to implement simple applications with specific technique starting with inheritance... later on you'll combine different techniques.!
 
My view: Anza na scripting language ya PHP(provided kwamba tayari una knowledge ya HTML). Itakuintroduce kwa vitu vingi ambavyo viko similar na languages nyingine. From PHP ndio nenda kwenye languages nyingine like visual Basic, C , Java ,etc.

yeah amigo ths I ol knw
masterng HTML+PHP 'll b linkng u appropiately 2 the rest.
 
Hey,i'll advice you to start with python.it's really easy to learn and it quite powerfull...by the way it's a pre-requisite for one to work at google...take this hello world script >print 'hello world' that simple no importation of many functions:
> def bodyMassIndex():
'''simple program that calculates body mass index'''
height = input('enter your height')
weight = ('enter your weight')
BMI = height/weight
print 'your BMI is:', BMI

>bodyMassIndex()
thats an example of a function in python....compare that with other languages,you'll notice python is quite simple.....and their is jython a java module that works with python.....so start with python then you'll learn other languages easily...
 
Usianze na C hayo ni makosa, anza na lugha modern kidogo Java, C# au Python. Uzuri wa C# (.Net) development environment yake ni nzuri sana na haina setup process isiyoeleweka unadownload na kuinstall Visual Studio Express unaanza kazi Free Developer Tools - Visual Studio 2010 Express | Microsoft Visual Studio . Hauhitaji kujua C kujua C++ wala kujua Java na zaidi ya hapo haitakusaidia kujua Java.


SS mtu atajifunzaje modern language kama hajui msingi?atacreate vipi class,variables,atafanya vipi inheritance ya class na variables zake kama hana msingi wa language?hiyo C# uliyosema atajifunzaje kama hajui msingi wa C?najua java iko for beginners but msingi wake uko C maana ni rahisi mtu kumaster language yeyote ile kama anamsingi mzuri wa C.modern language nyingi ziko OBJECT ORIENTED kuliko C ambayo siyo OOPS language.Ni kama vile unamwambia dereva aanze kujifunza gari ya automatic badala ya menu ambayo itamfanya ajue zote.
 
Back
Top Bottom