Which is the biggest city in East Africa? Nairobi, Dar es salaam or Kampala?

the biggest city in Africa in just 10 years? labda the most beautiful au most morden lakini sio the biggest in AFRICA, au litakua kubwa kwa kitu gani? maana najua dar itaongoza kwa kuwa na population growth kubwa kuliko nchi nyingine africa. au kigali itaongoza kwa ICT, financial hub au?Labda kwa sababu ni rahisi kufanya biashara pale basikutakua na wahamiaji wengi, na jiji likakua na kuwa biggest in africa?
20101215211256_55763.jpg

Mkuu inadepend how you define a biggest city. Does the biggest mean the largest? Hizo statistics ulizotoa zinaonyesha growth in terms of population. Of course, population ni moja ya determinants za how big the city is, but is not the only one. A big city does not depend only on the population. Kuna determinants nyingi. Kwa mfano kuna watu wanadefine the biggest city basing on things like arts, entertainment, and culture, networking and community,transportation and traffic[/COLOR], fine dining, modern conveniences, cost of living, etc.

Tatizo ni kwamba linapokuja suala la ku define the biggest city, kila mtu anavutia kwake. Wapo watakaodefine basing on morphological of the city. Wengine watabase zaidi kwenye functional position of the city or administrative position of the city. Ndio maana unakuta miji kama Bogota, Karachi, Kinshasa, Lima, Tehran kwenye list ya top 25 biggest cities in the World. Kama tunaangalia skyscrapers why Kinshasa is among the to 25 biggest city in the world? Kama tutadefine biggest city kwa kuaangalia skyscrapers, why then only two American cities (New York and Los Angeles) feature in the top 25 biggest cities in the world?
 
biggest / largest tunaongelea vitu viwili tu, population na size.

Hivyo vingine tafuta jina tofauti, sasa kama kuna mtu ana reliable populations na sizes za Dar, Nairobi na Kampala anaweza kujua which is the biggest / largest.

Mji wa Hong Kong una ma skyscrapers kuliko Dar, Nairobi na Kampala combined lakini hatusemi mji wa Hong Kong (34.5 sq miles) ni mkubwa kuliko Dar (101.5 sq miles)

Mji wa Tokyo miaka michache iliyopita ulikuwa na phone lines kuzidi bara zima la Africa combined (mostly for data, when phone lines ruled, lakini hilo halikutufanya tuseme kwamba mji wa Tokyo ni mkubwa kuliko bara lote la Africa.

Vatican City ina collection ya art ambayo nchi nyingi kubwa haziwezi kufikia, lakini hili halitufanyi tuseme Vatican City ni kubwa kuliko Tanzania.

Tunapoongelea ukubwa tunaongelea vitu viwili specifically, size and population.



Dar 262.5 sq km (101.5 sq miles) population 3,000,000
Nairobi 696 km2 (684 ?) (269 sq mi) (Mkoa? mji ?) population 3,000,000
Kampala 189 sq km (73 sq miles) population 1,200,000

Area wise Nairobi is the largest, population Dar and Nairobi are too close to call.
 
Wakuu,

Whether Dar or Nairobi is the biggest city, the real fact is that in the next 10 year Kigali will be the biggest city not only in East Africa but in Africa. Kwa wale wanaofuatilia ukuwaji wa miji Kigali inakua very fast. Juzi kulikuwa na documentary ya CNN juu ya Kigali bold Vision for 2020. Icheki hapa: Kigali's bold vision for 2020 – Business 360 - CNN.com Blogs Are we up for this chaallenge?

Dar inaweza kuwa the biggest city in East Africa lakini hili haliindolei Dar kuwa na sifa ya jiji la 12 kwa uchafu duniani. Hii ni kwa mujibu wa Forbes: In Pictures: The World's 25 Dirtiest Cities - Forbes.com

Ni heri kuwa na kamji kadogo lakini ni ka safi and modern than having a massive but dirtiest city. Sorry but that is the naked fact.

Uko collect kabisa mkuu,penye ukweli lazima tukubali,dar ni chafu sana iko wazi kabisa,inazidiwa hata na majiji machanga bwana.
 
Mkuu inadepend how you define a biggest city. Does the biggest mean the largest? Hizo statistics ulizotoa zinaonyesha growth in terms of population. Of course, population ni moja ya determinants za how big the city is, but is not the only one. A big city does not depend only on the population. Kuna determinants nyingi. Kwa mfano kuna watu wanadefine the biggest city basing on things like arts, entertainment, and culture, networking and community,transportation and traffic[/COLOR], fine dining, modern conveniences, cost of living, etc.

Tatizo ni kwamba linapokuja suala la ku define the biggest city, kila mtu anavutia kwake. Wapo watakaodefine basing on morphological of the city. Wengine watabase zaidi kwenye functional position of the city or administrative position of the city. Ndio maana unakuta miji kama Bogota, Karachi, Kinshasa, Lima, Tehran kwenye list ya top 25 biggest cities in the World. Kama tunaangalia skyscrapers why Kinshasa is among the to 25 biggest city in the world? Kama tutadefine biggest city kwa kuaangalia skyscrapers, why then only two American cities (New York and Los Angeles) feature in the top 25 biggest cities in the world?
nimekuelewa mkuu, thanks,
 
biggest / largest tunaongelea vitu viwili tu, population na size.

Hivyo vingine tafuta jina tofauti, sasa kama kuna mtu ana reliable populations na sizes za Dar, Nairobi na Kampala anaweza kujua which is the biggest / largest.

Mji wa Hong Kong una ma skyscrapers kuliko Dar, Nairobi na Kampala combined lakini hatusemi mji wa Hong Kong (34.5 sq miles) ni mkubwa kuliko Dar (101.5 sq miles)

Mji wa Tokyo miaka michache iliyopita ulikuwa na phone lines kuzidi bara zima la Africa combined (mostly for data, when phone lines ruled, lakini hilo halikutufanya tuseme kwamba mji wa Tokyo ni mkubwa kuliko bara lote la Africa.

Vatican City ina collection ya art ambayo nchi nyingi kubwa haziwezi kufikia, lakini hili halitufanyi tuseme Vatican City ni kubwa kuliko Tanzania.

Tunapoongelea ukubwa tunaongelea vitu viwili specifically, size and population.



Dar 262.5 sq km (101.5 sq miles) population 3,000,000
Nairobi 696 km2 (684 ?) (269 sq mi) (Mkoa? mji ?) population 3,000,000
Kampala 189 sq km (73 sq miles) population 1,200,000

Area wise Nairobi is the largest, population Dar and Nairobi are too close to call.
Asante mkuu, hapo nimekupata na nimejifunza kitu
 
Dar 1590.5 squarekm (614.1 miles). Population 2002 was 2497000 population 2012 3900000 (estimate). Nairobi 696 squarekm (269 miles). Population 2010 3138000.
 
hivi ukubwa wa jiji ni foleni, magorofa, wingi wa ombaomba au wingi wa machangudoa?
Ni factors nyingi kidogo, ikiwemo mpangilio wa mji kimandhari, uwezo wa miundombinu kuhimili idadi ya wakaazi na uchumi
 
Dar ni mji mkubwa x2 ya Nairobi binafsi naweza kutoa ushuhuda kwani nimefika na kukaa kwa muda katika miji hii vilevile Dar ni mji unaokuwa kwa kasi kubwa tofauti na Nairobi slams kibao Kibera,Mathare n.k labda wamnyang'anye Kenyatta shamba lake liwe mji na ile Nairobi National parks waifute ndiyo mji utakuwa wamejaliwa majengo marefu mazuri katika radius ya km 5 tofauto na radius 25km za Dar.
 
WADAU TUDISCUSS KIKUBWA, HAMNA MANENO YA AJABU AJABU NA NI VIZURI UKASISITIZA UNACHOSEMA KWA DATA, PICHA AU HATA LINK YA UHAKIKA ILI KUPUNGUZA UCHAFUZI WA HALI YA HEWA JAMVINI NA KUZUIA WENYE JAZBA, IWE KIKUBWA ZAIDI, TAFADHALI, PIA MWENYE PICHA NZURI ZA KAMPALA NA NAIROBI ANAWEZA KUEDIT , CHEERS :smiling::cheer2::cheer2::cheer2::cheer2:


NAIROBI WITHOUT UPPER HILL AND WESTLAND
5573097333_2dda472100_b.jpg

THE GREEN NAIROBI

94099169_aaddbb5791_o.jpg

DOWN TOWN NAIROBI
P9275332.jpg


DAR ES SALAAM

dar_zps2767f609.jpg



daressalaam.jpg




Flickr 上 Osse Greca Sinare 的 City of Dar es Salaam


Flickr 上 eutrophication&hypoxia 的 Dar es Salaam, Tanzania


672A547D540D-1.jpg





KAMPALA
5618942124_0e8a7322a9_z.jpg

5454831232_9e4761e312.jpg
 
View attachment 78929
Chezeya Mzizima veve, ukiona mapovu yamezidi sikuhizi basi utapata jibu, wapi geza?

:cheer2:

:cheer2: sijawahi kuiona Mzizima kutokea angle hii toka juu, kudadadeki, hapo ongezea vikangua anga vyote vilivyochomaza hivi karibuni ambavyo ni zaidi ya 15 ukiachia mbali kariakoo , kwanza check kariakoo ilivyojitenga vizuri, :smile: si mchezo, DAR is a BEAUTY. Hii picha itakua ya mwaka 2004 au 2005, hata BOT Towers zilikua bado U/C, enzi hizo PPF tower alikua lonely shiny glass tower Mzizima nzima, siku hizi anatembelea kichwa, teh teh,naona pembeni mwake tu kashazungukwa na vibeauty vinavyong'ara kama nucleus pia kafunikwa na golden jubilee towers, cool
 
Ijulikanavyo ni Nairobi lakini ukweli upo wazi kuwa ni Daressalaam ni mji mkubwa x2 ya Nairobi

wabongo lazima tujifagilie ukweli ni kwamba nairobi wanatupoteza na ki darsalam chetu mimi kote nshafika na kuishi Nairobi kuzuri kuliko hapa nyumban anzia miundo mbinu,,,wanachokosa ni bandari.....wako smart,,,wanacho boa ni stend yao ya machakusi kama ya arusha ama mwanza......
 
Back
Top Bottom