Am happy you know the truth.....we advised you to seek the truth....trust me,it will set you free....now:
You may be feeling the pain of negative words spoken over your life, or maybe you've spoken to someone else and you wish you could take back. Maybe there are things in your past that you think can't be forgiven. Or maybe you feel guilt for some past failure or resentment and unforgiveness toward someone who has wronged you.Whatever your need may be, let God meet it! Allow the power of His forgiveness to sweep across your heart and life and make everything new.
God is a good God, and He is at work in your life. Trust Him because He is faithful. His plans are always for your good. His plans are always to prosper you. He delights in seeing you grow and succeed. Make the decision to cooperate with what God is doing. Set aside the wrong questions, set aside complaining, and pick up His peace and joy and move forward with Him in victory and blessing every day of this New Life without him.Happy Womens Day!!
not even i don't love you anymore.hiyo ingekuwa afadhali my dear...he said i did not love you.Nilikutamani
...haina tofauti na kuwa cheated.
Tatizo, tuna tabia ya ku ignore the signs, mpaka pale inapokuwa too late halafu unatafuta wa kumlaumu.
Kujiua sio suluhisho ni udhaifu, kwamba huwezi kuchukua responsibilities za matendo yako.
Learn mama, deal with it, Life's too precious kuendekeza 'udhaifu' wa roho
...move on!
Dena haya yote he said them kwa kunitext.he did not have guts kunambia face to face.afu alivyo mshenzi anajitilisha huruma na kusema
eti he is confused he doesnt know wat to do anaweza kunywa sumu coz of me and the baby...mxiiii..kufaa..jamani nina hasira tena na wanaume wooote
Sweetdada sasa unaanza kunichanganya tena anatia huruma eti yuko confused??? Na nini tena?? Wewe ushampotezea kajua au??
Hebu niweke sawa maana hapa sasa unaanza kunichanganya
Wasi wasi wangu Mbu ni kuwa keshawahi hata kutamkiwa kuwa hapendwi, lakini akafumbia macho. Mpaka jamaa kaamua kutema kavu kavu.
Wanawake wakipenda wanafikiri na wao wanapendwa kama vile wanavyopenda, na hata wakipewa ukweli wataubadilisha tu.
yani ni hivi Dena..kaongea maneno yooote hayo ni mengi hayaelezeki.keshamaliza.anatext tena "am sorry but hapa nilipo nalia naweza hata kunywa sumu nife coz i dont know wat to do on this.."..sasa mie kushangaa iweje unywe sumu na umesema wewe,nikamwmabia aache unafiki
Wewe kuwa kama mimi "IM a Woman with Principles" Nikisema no its no, nikisema yes it is.
Stand on your own ok?? Asikupotezee muda yaani uniambie ulikuwa hunipendi urudi tena eti im confused to hell kafie hukoooooooo.
Ni afadhali angesema unajua mie siku hizi mapenzi yamepungua kuliko huo upuuzi aliosema.
Piga chini achana nae mtoto mtoto ndo nini bana watu wameolewa na watoto wanne nini mmoja.
Endelea na maisha yako natamani ningekuwa karibu na wewe nikushauri ana kwa ana.
MANENO YAKO YANA FARAJA SANA - SI KWA HUYO MWENYE TATIZO TU ILA KWA WENGI TULIOPITIA MATATIZO AINA MBALI MBALI - NATAMANI NINGEONGEA NAWEWE LIVE - MUNGU AKUBARIKI KWA KUUPONYA MOYO WANGU KWA MANENO YAKO - AM TELLING YOU - YOU DESERVE TO RUN A FAITH COUNSELING CENTRE - AGAIN BE BLESSED ALWAYS :decision:
usikasirike sana Dena..am done with him.Mungu atanisaidia nitapita haya majaribu salama.
there is a reason for everything,may be nimeepushwa..
Asanteni wote kwa kunipa moyo..i feel much better
kivipi MTM?
Mmmh! Baaaaad,
Pole sana. Njoo huku upendwe mama.
On the second thought, alitaka kutolea pressure zake za sex kwako, wanawake mnatakiwa kufahamu haya mambo.
haya MTM academia, nimekukubali haraka kabla sijatoa povuHakuna haja ya kutafuta una tatizo wapi. Swala ni kwamba hakupendi basi!!!! Kwa hiyo matatizo yako sio tatizo tatizo hakupendi, alikuwa anatafuta starehe!! Madhaifu yako yangesaidia kama angesema nachukia tabia yako hii na hii. Lakini Hakupendi.
Mwambie sawa yupo anayenipenda, alikuja kutafuta starehe lakini ipo siku atajutia hiyo starehe. Mtegemee Mungu. Unajua Mungu siku zote anatenda haki. Nakuhakikishia ipo siku atapiga magoti ajutie hiyo starehe yake.
Uzuri naongea kitu ninachokiamini na ninachokijua.
Sio wa kwanza wewe dada, ndo maana nimekwambia unaangaliwa kuwa mwalimu mzuri, haya yapo ktk dunia hii na yataendelea kuwepo. Ni nani atawasaidia watu kama sio mm na wewe???
Tulia usianze kujihukumu bureeeee!!!!
Hakuna haja ya kutafuta una tatizo wapi. Swala ni kwamba hakupendi basi!!!! Kwa hiyo matatizo yako sio tatizo tatizo hakupendi, alikuwa anatafuta starehe!! Madhaifu yako yangesaidia kama angesema nachukia tabia yako hii na hii. Lakini Hakupendi.
Mwambie sawa yupo anayenipenda, alikuja kutafuta starehe lakini ipo siku atajutia hiyo starehe. Mtegemee Mungu. Unajua Mungu siku zote anatenda haki. Nakuhakikishia ipo siku atapiga magoti ajutie hiyo starehe yake.
Uzuri naongea kitu ninachokiamini na ninachokijua.
Sio wa kwanza wewe dada, ndo maana nimekwambia unaangaliwa kuwa mwalimu mzuri, haya yapo ktk dunia hii na yataendelea kuwepo. Ni nani atawasaidia watu kama sio mm na wewe???
Tulia usianze kujihukumu bureeeee!!!!