sweetdada
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 517
- 169
- Thread starter
- #81
mi sisemi kitu kabisaaa
Asante kwa kutupa maelezo ya Kina
Huyo jamaa ametuangusha kwa kuwa mwoga...kukuonyesha kuwa yeye kama mwanaume He was supposed to give directions na sio kusubiri fate
katuaibisha sana
Angekwambia tangu mwanzo,,,, tusingefika hapa
sasa basi kama tulivosema tangu awali ni wakati muafaka wa kumove on. Anakuitia nini , halafu isije ikawa deep down bado unampenda ile kikweli kweli manake kama ni hivyo hapa tutakuwa tunapoteza wino wa Invisible bure....
wala hupotezi wino usijali Kaizer..hapa nilipo mapenzi yooooote na yalikuwa mengi haswaaa..yamefutika juu yake.kama ye hanipendi mi nampendea nini ssa..si nitakuwa mpuuzi..love is not blind as they say.