Erickb52
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 18,539
- 11,442
Hahaha! Unahamia mtaa gani wenye joto nikufwate?
Teh kwa molel
Hahaha! Unahamia mtaa gani wenye joto nikufwate?
Hahahaha! Nakufuata, ukianza safari unijuze..Teh kwa molel
Hahahaha! Nakufuata, ukianza safari unijuze..
Sikuweza kwenda jana, leo nimemtuma dogo kakosa eti wanaacha namba za simu siku zikija watapigiwa lol...siku yenyewe wala haijulikani!Teh hivi ulifanikiwa kupata ile kitu jana?
Hahahahaa pole mwaya...Sikuweza kwenda jana, leo nimemtuma dogo kakosa eti wanaacha namba za simu siku zikija watapigiwa lol...siku yenyewe wala haijulikani!
Wanizingue mara ngapi? Hapa yenyewe nafikiria kukuletea barua ya maombi lol...Hahahahaa pole mwaya...
Wakikuzingua unambie nikufanyie mchakato faster
Wanizingue mara ngapi? Hapa yenyewe nafikiria kukuletea barua ya maombi lol...
Ahsante....timu yako ifunge eeh!..Ok pouwa...
Lala salama...naangalia mpira bd.
Ahsante....timu yako ifunge eeh!..
Kama ukinikumbuka sana nipigie simu yangu lol... Erickb52 njoo umalizie...
Vipi umeshalala Kipipi?. Ukilala lala salama, kumbatia avator yangu. g9t n blessed ka ushalala.
Haaaaa! Mwenyewe wa ukwee anakuona, hiari yakoActually, in fact huu wimbo nilimuagiza MusimoJr auweke hapa maalum kwa ajili yako..
Kwezi, habari za?Salam zangu za dhati ya moyo wangu asubuhi hii zinakuja kwenu nyote, mie mzima hofu na mashaka ni kwenu mlio mbali na upeo wa macho yangu.............
TANMO............Good morning
Erickb52.........guten Morgen
SL.............bonjour
AshaDii.........صباØ* اÙØ®Ùر
Kipipi......... Ng'wangaluka
Cantalisia..........buenos dÃ*as
Na wengineo woooote ..........æ©å®