Msikariri sio lazima sababu iwe gb whatsapp, kuna watu wanatumia official WhatsApp na bado wanakula ban.WhatsApp GB imekuponza
Hiyo ban ni permanent au temporarily? WhatsApp ipi ulikuwa unatumia?Habari wakuu
Moja kwa moja kweny mada
Whatsapp imeban namba yang je nawezaa kuifunguua?????
Msaada wenu wakuuuu
Naambiwa hapa kuwa simu za OPPO zinakula sana ban whatsapp. Sijui OPPO walikosana na whatsapp au la. Chief-Mkwawa kuna ukweli?Msikariri sio lazima sababu iwe gb whatsapp, kuna watu wanatumia official WhatsApp na bado wanakula ban.
Sababu zinaweza kuwa kusend spams au kushare inappropriate content, ukiwa reported unakula ban vizuri tu.
Whatsapp Wana ban 3rd party apps, hizo Whatsapp za oppo walidownload play store ama walizikuta humo humo?Naambiwa hapa kuwa simu za OPPO zinakula sana ban whatsapp. Sijui OPPO walikosana na whatsapp au la. Chief-Mkwawa kuna ukweli?
Mkuu umefanikiwa!?.. Usipanick fuata hizi steps, Ingia Playstore, halafu upande wa kulia juu kuna kiduara chaweza kuwa na herufi ya Jina lako kibonyeze, halafu utaona sehemu imeandikwa manage apps & devices ingia hapo, utakuta Gb Whatsapp, Og Whatsapp etc ipo hapo. Ibonyeze harafu iondolee ban itarudi kawaida kwenye simu yako. Ukichemka toa taarifa upewe alternative ukifanikiwa pia toa taarifa.Mbaya sana hiii
PoapoaWameifunguaaa nlituma request