kinepi_nepi
JF-Expert Member
- Aug 16, 2007
- 869
- 235
Ukimwona makamba anafanya vikao mara kwa mara na Rostam, Lowassa na nk ujue haya ndio mambo. 2010 epa haipo kwahiyo hii imo. sasa wale watetezi wa Dowans waseme na hili walilijua kwamba ilikuwa kwenye plan, kuitetea halafu inunuliwe??? Nakulilia tanzania unaliwa ukiwa unaona.