What Killed Arafat? Swiss scientists say he was Poisined (Polonium)

Status
Not open for further replies.
Hapana we bado sana kufahamu sababu za kuvamiwa Iraq, sababu ya Iraq kuvamiwa ilikuwa tishio kubwa kwa Israel.

Mungu hapigi kwa fimbo, walipo ivamia Iraq wakajua sasa Israel ataishi kwa amani, katokea Iran sasa Israel anajiharia tu, bora hata Iraq alikuwa hana nguvu sana kama nguvu alizo nazo Iran kwa sasa.

Israel ataishia kujiharia hata Iran avamiwe na USA watatokeza wengine.

Kumbuka Mungu wa wa Islam ameisha wapa ahadi waislam watakuwa na nguvu kuliko wakristo, pale waislam watarudi kufata kitabu cha Mungu Quran, lazima ujuwe wako wasilam wengi ni majina tu, wa kwanza viongozi wa Saud Arabia, wao Israel ni kipenzi chao kuliko Hamas na Hazbullah.


Duuuuuuuuuuuuh,mi kwenye sijui uislamu au ukristo kuwa au kutokuwa na nguvu sipo Mkuu,mi najua marekani alizuga kuwa Iraq ni tishio kwa Israel,ila target haikuwa hyo Mkuu,target ilikuwa ni mafuta tu na ndiyo maslahi yenyewe hayo kaka,hata huko Iran wana target yao pia na sio eti kama mnavyojidanganga eti kisa Iran ni hatari kwa Israel,kwani hakuna ilichonacho Iran,Israel isiwe nacho,so itakuwa tishio kwa lipi
 
weka ushaidi usipende kuskumwa na hisia.

Yasser Arafat: what the report shows

Swiss scientists discovered unexpectedly high levels of polonium despite fears body would not yield much evidence
Wednesday 6 November 2013 16.07 GMT


Yasser Arafat's coffin in Ramallah after his death in 2004. Photograph: Jamal Aruri/AFP/Getty Images
Angelique Chrisafis in Paris

When Palestinian officials opened up Yasser Arafat's grave in November last year, the international scientists standing by were not sure whether the naturally decayed corpse would yield many secrets. The Swiss team present had already found that biological samples on Arafat's final belongings, including urine-stained underwear and blood from a hospital hat, showed "significant quantities" of polonium-210, the lethal substance used to assassinate the Russian dissident Alexander Litvinenko.


Source: The Guardian UK
 
mbona uislamu mkuu ni poa sana,uislamu unazuia vipi bepari asifanye yake hadi auchukie,kama sehemu zenye mafuta kama nchi za uarabuni ambapo ndipo uislamu ulipoweka mizizi yake hao mabepari ndo wanaochimba hayo mafuta kupitia makampuni yao,sasa kuna nini tena zaidi ya maslahi tu mkuu?
USA hana shida na mafuta kama ni mafuta anabeba Saud Arabia anavyo taka yeye, we huoni juzi kenda lamba mikono ya wa Saud Arabia.

Irani alicho nacho israel hana, kama unajidai alicho nacho Iran na Israel anacho, nikupoteza mda tu hapa.

Israel anategemea misada ya USA, Iran anajitegemea mwenyewe, umeona tofouti hapo.
 
arafat was built into a Palestinian leader by the KGB in the aftermath of the
1967 Six-Day Arab-
Israeli War. In that
war Israel humiliated two of
the Soviet Union’s
most important
allies in the Arab
world of that time,
Egypt and Syria,
and the Kremlin
thought that Arafat
could help repair
the Soviet prestige.
 
Arafat hajawahi kuwa kiongozi wa hamas! Bali alikuwa PLO...!
Mkuu watu wengi sana hawajui kabisa historia na mapambano ya waarabu Mashariki ya Kati na chimbuko lake.
Wale wenye upeo mdogo sana wanafikiri ni mapambano ya kidini kati ya Ukristo na Uislamu, wakati mapambano hayo ni ya umiliki wa ardhi ya Wapalestina iliyochukuliwa kwa nguvu mwska 1948, kati ya wapalestina wenyewe na wayahudi.
 
mgogoro wa israel na palestina ni wa kihistoria zaidi na usihusishwe na kipengele kimoja tu cha dini kama inavyotafsiriwa na waislam na wakristu wasio na elimu ya uhusiano wa kimataifa bali wanaendeshwa tu na hisia na mikingano ya tofauti kati yao. one sided mind will never tranquilize sectarian societies let alone solve them.
 
Nani aliye wabariki Paulo?


Nchi yenye kubarikiwa vipi iwe inasaidiwa? Israel hawezi kuipiga Iran akapige nchi zote za umoja wa mataifa? Hivi wewe una akili kweli.

Unaye sema anauwezo wa kupiga dunia nzima, kila siku anaomba USA ndio itangulize kichwa kule Iran au Syria au ajaribu tu kusogeza jeshi lake lebanon uone.


unaifahamu historia kweli wewe?

waisraeli they are more powerful than those Arab states

waarabu wamepigana na waisraeli tena wakiwa ni zaidi ya nchi mmoja lakini waarabu walitandikwa kama wamesimama! soma SIX-DAY WAR
 
unaifahamu historia kweli wewe?

waisraeli they are more powerful than those Arab states

waarabu wamepigana na waisraeli tena wakiwa ni zaidi ya nchi mmoja lakini waarabu walitandikwa kama wamesimama! soma SIX-DAY WAR
Israel alipigana na nchi mbili na kidogo Iraq ndio alisaidia time ya mwisho, kwa hio unaposema Israel alipiga nchi za kiarabu zote, lazima uzitaje nchi gani alizo pigana nazo zaidi ya Egypt na Syria na kwa mbali Iraq, nchi kama UAE, Oman,Qatar zilikuwa hata hazijulikani, lazima ujuwe UAE kwa sasa anasilaha hata Israel haoni kitu.
 
Israel alipigana na nchi mbili na kidogo Iraq ndio alisaidia time ya mwisho, kwa hio unaposema Israel alipiga nchi za kiarabu zote, lazima uzitaje nchi gani alizo pigana nazo zaidi ya Egypt na Syria na kwa mbali Iraq, nchi kama UAE, Oman,Qatar zilikuwa hata hazijulikani, lazima ujuwe UAE kwa sasa anasilaha hata Israel haoni kitu.
Waliozungumziwa ni Arabs hivi unajua jumuiya ya waarabu? uliza fresh upate majibu... hata kama nchi na nchi zote hazikushiriki kama zipo kwenye jumuiya hiyo zilichangia kwa namna moja au nyingine....
 
Mkuu watu wengi sana hawajui kabisa historia na mapambano ya waarabu Mashariki ya Kati na chimbuko lake.
Wale wenye upeo mdogo sana wanafikiri ni mapambano ya kidini kati ya Ukristo na Uislamu, wakati mapambano hayo ni ya umiliki wa ardhi ya Wapalestina iliyochukuliwa kwa nguvu mwska 1948, kati ya wapalestina wenyewe na wayahudi.

so ardhi ilichukuliwa sasa wapalestina wanaelea hewani au? sijui unamaanisha ardhi ipi kila siku nawaona wapalestina wanatembea ardhini, na wakifariki pia huwa naona wanafanya maziko ardhini
 
Mkuu nilipata fursa na kuangalia hiyo documentary. Inasikitisha sana. Aljazeera wamejitahidi sana kuleta makala haya kwa changamoto nyingi

uliona wale mashushushu waliokuwa wakipekua hoteli waliofikia al jazeera?

uliona walivyomchimba mkwara wakumuitia polisi yule ripota?

cha kushangaza inaonekana ni maafisa wa palestina!
 
uliona wale mashushushu waliokuwa wakipekua hoteli waliofikia al jazeera?

uliona walivyomchimba mkwara wakumuitia polisi yule ripota?

cha kushangaza inaonekana ni maafisa wa palestina!

Serikali ya Palestina ni kama ilikosa imani kwa team ya waandishi wa habari ya Aljazeera. Hata ule uhuru wa kukusanya habari ulikua shida kwao.
 
Waliozungumziwa ni Arabs hivi unajua jumuiya ya waarabu? uliza fresh upate majibu... hata kama nchi na nchi zote hazikushiriki kama zipo kwenye jumuiya hiyo zilichangia kwa namna moja au nyingine....
We hujui umoja wa nchi za kiarabu ndio unaoa mpiga Syria kwa sasa sababu ya nani? We hujui Israel kama sio Saud Arabia/Uingereza isinge kuwa ina exist, we kasome story vizuri ndio uje ubishane na watu wakubwa hapa.

Eti umoja wa nchi za kiarabu au umoja w anchi za kiafrica.
 
We hujui umoja wa nchi za kiarabu ndio unaoa mpiga Syria kwa sasa sababu ya nani? We hujui Israel kama sio Saud Arabia/Uingereza isinge kuwa ina exist, we kasome story vizuri ndio uje ubishane na watu wakubwa hapa.

Eti umoja wa nchi za kiarabu au umoja w anchi za kiafrica.

Hebu soma ulichoandika uone kama kinaeleweka....!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom