Dunia ingekuwa na usalama kama kungekuwa hakuna taifa la kiyahudi, watu walio laniwa na Mungu sidhani kama unaweza kuishi nao kwa amani. Arafat alifanya kosa sana ku sign nao peace.
Katika dunia nzima nchi inayo pinga vitendio vya UN ni Israel peke yake.
Katika dunia zima taifa lilouwa Mitume wa mwenyezi Mungu ni Israel peke yake, vipi lishindwe kuwauwa viongozi kama kina Arafat. Mungu hajakosea aliposema msiwafanye mayahudi na manasara kuwa marafiki zenu hao hawana rafiki.
Kaulize USA nchi ngapi za kislam kazivamia na kwa sababu gani, mbona hasogei kuivamia Israel ni nchi peke yake duniani inayo pinga sheria zote za umoja wa mataifa.Hivi kwani kuna Taifa linalopigania kuwashinda waislamu Duniani,kwa lipi hasa hili Taifa lifanye masuala hayo kwa Waislamu,waislamu wamefanya nini zaidi hadi hili Taifa litake kupambana nao??
Nani aliye wabariki Paulo?Israel haijalaaniwa hata kidogo hizo laana ambazo unawaelekezea Israel zinakurudia wewe. Endelea kutamka hayo lakini kama huwezi kuelewa endelea kuwalaani Israel yatakapokupata ndipo utakapoelewa. Nilikutana na mtu wa imani ya kwenu ambaye hakosi swala akaniambia kuwa wale watu (Israel) wamebarikiwa kama ulivyosema kuwa wanaweza kuupinga Umoja wa mataifa na hakuna anayeweza kufanya lolote dhidi yao.
Kaulize USA nchi ngapi za kislam kazivamia na kwa sababu gani, mbona hasogei kuivamia Israel ni nchi peke yake duniani inayo pinga sheria zote za umoja wa mataifa.
Iraq alivamia sababu gani?U.S.A anazivamia nchi za kiislamu kwa kuwa zina waislamu wengi au kuna lingine nyuma ya pazia?
Dunia ingekuwa na usalama kama kungekuwa hakuna taifa la kiyahudi, watu walio laniwa na Mungu sidhani kama unaweza kuishi nao kwa amani. Arafat alifanya kosa sana ku sign nao peace.
Katika dunia nzima nchi inayo pinga vitendio vya UN ni Israel peke yake.
Katika dunia zima taifa lilouwa Mitume wa mwenyezi Mungu ni Israel peke yake, vipi lishindwe kuwauwa viongozi kama kina Arafat. Mungu hajakosea aliposema msiwafanye mayahudi na manasara kuwa marafiki zenu hao hawana rafiki.
Kwani mimi nimetoa kichwani kwangu hayo si yote yako kwenye Bibilia.Huna unalojua hata moja. Umejaa jazba na ubabaishaji.
Iraq alivamia sababu gani?
Hapana we bado sana kufahamu sababu za kuvamiwa Iraq, sababu ya Iraq kuvamiwa ilikuwa tishio kubwa kwa Israel.Ndio ujue hapo Mkuu kinachovamiwa sio uislamu wa hzo nchi,bali ni maslahi binafsi tu ya Marekani kwa nchi hzo,sema watu wengi tunachanganya masuala haya na imani zetu ndio maana kila siku mijadala ya aina hii huwa haiishi,hata sisi tutavamiwa tu huko siku za mbeleni hata kama ni indirect
Mkuu soma vizuri historia ndo utaelewa.Hapana we bado sana kufahamu sababu za kuvamiwa Iraq, sababu ya Iraq kuvamiwa ilikuwa tishio kubwa kwa Israel.
Mungu hapigi kwa fimbo, walipo ivamia Iraq wakajua sasa Israel ataishi kwa amani, katokea Iran sasa Israel anajiharia tu, bora hata Iraq alikuwa hana nguvu sana kama nguvu alizo nazo Iran kwa sasa.
Israel ataishia kujiharia hata Iran avamiwe na USA watatokeza wengine.
Kumbuka Mungu wa wa Islam ameisha wapa ahadi waislam watakuwa na nguvu kuliko wakristo, pale waislam watarudi kufata kitabu cha Mungu Quran, lazima ujuwe wako wasilam wengi ni majina tu, wa kwanza viongozi wa Saud Arabia, wao Israel ni kipenzi chao kuliko Hamas na Hazbullah.
Nani kasema Israel ni taifa la kikristo?Mkuu soma vizuri historia ndo utaelewa.
Tatizo kubwa la Israel ni la kihistoria na si la kiimani kama unavyotaka kuliweka.
Kwanza kabisa Israeli si taifa ls Kikristo ni la kiyahudi.
Pili hata mimi Mkristo siungi mkono ubabe wa Israeli hapo Mashariki ya Kati, kwa vile kama Afrika kuna wsnaoonewa sana bila hatia yoyote.
Tatu tatizo la Mashariki ya Kati ukiliweka kiimani halitokwisha, suala ni mipaka na tusisahau kuwa Isrsel kama taifa la Kiyahufi hslina tofauti kiitikadi na Mataifa ya Kiislamu.
Wote ni watu wa jicho kwa jicho.
Mbona unakana ulichokiandika mkuu, au umeandikiwa?Nani kasema Israel ni taifa la kikristo?
Nilicho sema USA anaingia vita sababu ya Israel, tazama alitaka kuingi Syria sababu ya Israel, alitaka kupigana na Iran sababu ya Israel, we uliwahi kuona wapi USA akapigana vita za middle east sababu yake yeye?
Iraq walikuwa wanataka wanacho taka kwa Saddam na wao ndio walikuwa wanampa support Iraq ili awashinde vita wa Iran, ghafla tu akageuka kuwa adui ya Iraq, sababu eti kavamia Kuwait na wakati wao ndio walimpa green light Saddam avamie Kuwait.
Hapo walitega mtego ili waisambaratishe Iraq, sababu ilisha kuwa tishio kubwa sana kwa Israel.
Kama hujui hata Obama hawezi kufanya kitu bila kuwashauri Israel, hata kufanya mazungumzo na Iran lazima awambie Israel kitu gani anacho ongea na Iran.
Nani aliye wabariki Paulo?
Nchi yenye kubarikiwa vipi iwe inasaidiwa? Israel hawezi kuipiga Iran akapige nchi zote za umoja wa mataifa? Hivi wewe una akili kweli.
Unaye sema anauwezo wa kupiga dunia nzima, kila siku anaomba USA ndio itangulize kichwa kule Iran au Syria au ajaribu tu kusogeza jeshi lake lebanon uone.
Tatizo hapa we ndio hufahamu mimi nasema nini, nilicho sema toka mwanzo nchi za ki Islam zinapigwa vita na manasara na wayahudi we ukabisha, ukasema sio mambo ya dini.Mbona unakana ulichokiandika mkuu, au umeandikiwa?
Soma bandiko lako la awaliara ya mwisho na endelea kuifafanua...
Wewe unaongea wakati ule kuna nchi za kiarabu hata kwenye MAP ya dunia zilikuwa hazina hata jeshi wala maendeleo wala hazijajulikana.hukumbuki le mwaka mataifa karibuyo te ya kiislam yalivotaka kuivamia izrael,nn kilitokea,uliza ama we n kizazi kipya unakariri,hujiuliz izrael ilivo ndogo na iko katikat ya nchi za kiarabu lakini inasavive
Kulingana na taarifa ya habari BBC, Yasser Arafat inaelekea aliuwawa na radio active substance ambayo ilikuwa na Polonium 210.
Polonium 210 ni aina ya sumu ambayo ni radio active na husababisha kansa za kila aina.
Huko Uswisi sample za mwili wa Arafat pamoja na udongo uliozunguka kaburi lake vilikutwa na chembe chembe za sumu hiyo ya Polonium 210.
Mtuhumiwa nambari wani wa kumwekea sumu hiyo ni Idara za Ujasusi ya Israel, Shin Bet na Mossad.
Ndio ujue hapo Mkuu kinachovamiwa sio uislamu wa hzo nchi,bali ni maslahi binafsi tu ya Marekani kwa nchi hzo,sema watu wengi tunachanganya masuala haya na imani zetu ndio maana kila siku mijadala ya aina hii huwa haiishi,hata sisi tutavamiwa tu huko siku za mbeleni hata kama ni indirect
Mkuu ni lazima tuwe na a keen debate katika hili swala na tusipojipambanua tunabishania nini ni rahisi kutoona the underlying facts.Tatizo hapa we ndio hufahamu mimi nasema nini, nilicho sema toka mwanzo nchi za ki Islam zinapigwa vita na manasara na wayahudi we ukabisha, ukasema sio mambo ya dini.
Kama si mambo ya dini ni kitu gani USA anavamia nchi za kiarabu na za kiislam.
Umesahau kitu kimoja baada ya kuanguka kwa vita baridi kati ya Amerika na Russia adui pekee aliyebaki wa ubepari Duniani ni Uislam, ndio maana uislam umekuwa mlengwa mkuu wa hujuma za marekani na marafiki zake.