MAMMAMIA
JF-Expert Member
- Feb 26, 2008
- 3,811
- 1,604
Ni vizuri kujikumbusha yale ya utoto. Ndio umri pekee unaoishi ki"innocent-innocent" bila ya kuhukumiwa kwa utoto wako, ingawa utahukumiwa kwa matendo yako kama sehemu ya mafunzo na sio kuonewa. Ndio umri pekee unapoweza kusema na kutenda lolote, ukiwa mkubwa ukaweza kulihadithia bila ya majuto kwa sababu "ulikuwa mtoto". Ukipita umri huo, na mtu akikuambia au kukushutumu kuwa unafanya mambo ya "kitoto", jisahihishe haraka.
Habari wana JF….. oa
Pamoja Saana
ADI.
Yote tisa, la kumi Dada AshaDii, sikiza kilio cha First Lady1, na mimi na wadau wengine tunataka kusikia "Childhood" yako.