Zanta
JF-Expert Member
- Apr 4, 2011
- 2,028
- 788
Swali dogo tu lakini majibu kibao. Watu wanazuguka tu hapa! hapa tunataka data kama hizi, mfano "kabla ya mdee hajachukua jimbo kulikua na kero ya maji kwa wananchi na kwa sasa Mdee amewezesha upatikanaji ya maji kwa asilimia hizi, mfano mwingine labda Kawe kulikua na kero ya barabara, Mdee amewezesha kusimamia utekel;ezaji wa miradi kadhaa ya barabara kwa awsilimia kadhaaa, lingine mfano wakazi wa kawe walikiua na kero za viwanja, Mdee mpaka sasa amewewezesha kusimamia na kutekeleza migogoro kadhaaa! na vile vile tukubali kusema mapungufu yake ili tuweze kumsaidi, mfano, kabla ya Mdee kuchukua jimbo kulikua na hali ya amani na utulivu lakini sasa vitendo vya ujambazi vimekithiri!
Hebut tujaribu kujibu hili swala kwa muundo huu! maana mwanzisha thread ameomba mafanikia kwa jimbo la kawe
Hebut tujaribu kujibu hili swala kwa muundo huu! maana mwanzisha thread ameomba mafanikia kwa jimbo la kawe