Kizamani
JF-Expert Member
- Sep 12, 2011
- 418
- 108
Kwa wakazi wa Dar mtakubaliana nami kwamba kwa sasa kuna wimbi la wizi wa laptop, kwenye magari madogo hasa kwa wale wanaotoka makazini na kulazimika kupita ama kwenye mikutano ya harusi au inayofanana na hiyo. Huna haja ya kupaki muda mrefu hata dakika mbili ukigeuka umeliwa. Najiuliza swali moja " je hawa wezi wanatumia nini kujua kama gari hii ndio yenye laptop na sio nyingine. Tulikuwa tumepaki magari kama kumi hivi kwenye kikao ila cha kushangaza gari iliyovunjwa ndo pekee iliyokuwa na laptop na ilikuwa kati ya magari mengine.
Hii inanifanya nijiulize yafuatayo:
1) Hawa wezi wanagunduaje kati ya magari mengi, hili ndo lenye laptop.
2)Mbona hatuoni kama kuna juhudi zozote za jeshi la polisi kushughulikia matukio haya. Kila kukicha utasikia mtu analalamika (kwa jioni ya jana nimepata taarifa ya watu wawili waliovunjiwa na kuibiwa laptop. mmmoja tulikuwa naye kwenye kikao na mwingine ni coleague wangu kazini aliyepaka kwenye ATM, kuchukua hela na kurudi kakutana nao wanakimbia)
3)Je hali hii itaendela hii mpaka lini?
Nimesikia mpaka maboss wetu ambao ni wazungu wawekezaji wakilalamika, hatuoni linaipaka nchi yetu matope?
Nchimbi uko wapi na vijana wako? Naamini polisi wanawajua kwani nilishaongea na polisi mmoja akaniambia kuna gari mbili Noah na GX 100 za magomeni ni noma.
, na ndo hizo jana tumeziona na kugeuka tu laptop haipo.
Nawakilisha.
Hii inanifanya nijiulize yafuatayo:
1) Hawa wezi wanagunduaje kati ya magari mengi, hili ndo lenye laptop.
2)Mbona hatuoni kama kuna juhudi zozote za jeshi la polisi kushughulikia matukio haya. Kila kukicha utasikia mtu analalamika (kwa jioni ya jana nimepata taarifa ya watu wawili waliovunjiwa na kuibiwa laptop. mmmoja tulikuwa naye kwenye kikao na mwingine ni coleague wangu kazini aliyepaka kwenye ATM, kuchukua hela na kurudi kakutana nao wanakimbia)
3)Je hali hii itaendela hii mpaka lini?
Nimesikia mpaka maboss wetu ambao ni wazungu wawekezaji wakilalamika, hatuoni linaipaka nchi yetu matope?
Nchimbi uko wapi na vijana wako? Naamini polisi wanawajua kwani nilishaongea na polisi mmoja akaniambia kuna gari mbili Noah na GX 100 za magomeni ni noma.
, na ndo hizo jana tumeziona na kugeuka tu laptop haipo.
Nawakilisha.