Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
Kuanzia mawaziri na sasa JWTZ wamekuwa wakijigamba ya kuwa hawawezi kujiuzulu kwa misingi ya uwajibikaji kutokana na utendaji mbovu wa taasisi wanazozisimamia.........
Huu ugonjwa unaanzia pale tunapopiga kura na watawala wanazichakachua na kujitangazia matokeo ya kura wayatakayo wenyewe...................hivyo kufuta aina yoyote ile ya wao kuwajibika kwa wapigakura na ndiyo maana watawala waliomo ndani ya Baraza la Mawaziri au ndani ya taasisi za umma kama JWTZ hawaoni sababu ya kuwajibika kwa sababu hata kama hatuwataki hatuna uwezo wa kuwafukuza kazi kupitia nguvu ya ballot box.............................................kwetu sasa kilichobakia ni nguvu ya umma....................kupitia maandamano yasiyo na ukomo kuwalazimisha waachie ngazi..............................hatuna njia nyingine kwa sababu maovu dhidi yetu yamezidi kipimo.....................tukisubiri uchaguzi tuandike maumivu kwa sababu hakuna uhusiano kati ya kura zilizopigwa na matokeo ambayo watawala huyatangaza...................
unapoona serikali inaua watu kila mara na hakuna kiongozi yeyote ambaye yupo tayari kuwajibika na hata waathirika na wahanga hawapewi fidia kulingana na madhara waliyoyapata ujue hilo taifa linaongozwa na viongozi ambao siyo wacha Mungu..........................huwezi ukaua raia halafu udai unawapa kifuta chozi......kwani haya majanga ambayo ni man-made kwa nini tuyachukulie ni natural disaster????????????????????????????
let us learn to be serious on serious issue of national profundity....................
Huu ugonjwa unaanzia pale tunapopiga kura na watawala wanazichakachua na kujitangazia matokeo ya kura wayatakayo wenyewe...................hivyo kufuta aina yoyote ile ya wao kuwajibika kwa wapigakura na ndiyo maana watawala waliomo ndani ya Baraza la Mawaziri au ndani ya taasisi za umma kama JWTZ hawaoni sababu ya kuwajibika kwa sababu hata kama hatuwataki hatuna uwezo wa kuwafukuza kazi kupitia nguvu ya ballot box.............................................kwetu sasa kilichobakia ni nguvu ya umma....................kupitia maandamano yasiyo na ukomo kuwalazimisha waachie ngazi..............................hatuna njia nyingine kwa sababu maovu dhidi yetu yamezidi kipimo.....................tukisubiri uchaguzi tuandike maumivu kwa sababu hakuna uhusiano kati ya kura zilizopigwa na matokeo ambayo watawala huyatangaza...................
unapoona serikali inaua watu kila mara na hakuna kiongozi yeyote ambaye yupo tayari kuwajibika na hata waathirika na wahanga hawapewi fidia kulingana na madhara waliyoyapata ujue hilo taifa linaongozwa na viongozi ambao siyo wacha Mungu..........................huwezi ukaua raia halafu udai unawapa kifuta chozi......kwani haya majanga ambayo ni man-made kwa nini tuyachukulie ni natural disaster????????????????????????????
let us learn to be serious on serious issue of national profundity....................