bacha
JF-Expert Member
- Aug 19, 2010
- 4,282
- 797
Ha ha ha ha umedanganywa sana mkuu wa pili wizi mtupu. We ulitaka akwambie wa kwanza. Ukiona anasema wa pili hesabu mkichwa kaka
kumbe eeeeeh!!!
Ha ha ha ha umedanganywa sana mkuu wa pili wizi mtupu. We ulitaka akwambie wa kwanza. Ukiona anasema wa pili hesabu mkichwa kaka
kumbe eeeeeh!!!
Kuanzia nimebalehe, kila msichana nikimuuliza mimi ni bwana wako wa ngapi, utasikia we ni bwana wangu wa pili... akizidi sana utasikia wa nne.
je mimi nina bahati gani ya kuwa napata wanawake ambao hawajatumika sana?
Acheni wizi wanawake
Bacha habari ndo hiyo nikwambie hakuna brand new siku hizo zote zimechakachuliwa kwa mbele
mmmhhhhh, hii kiboko, idhani kama anakumbuka...hata m mwenyewe niliyebarehe mwaka jui sikumbuki nimeshachovya wangapi....we umewafunua wangap?
ili nao wajisifu wamepata mwanaume asiyefunua vyungu ving?
The difference is the same - **** usinyaa na kutanuka! Hata kama ungekuwa wa 500!
Kuanzia nimebalehe, kila msichana nikimuuliza mimi ni bwana wako wa ngapi, utasikia we ni bwana wangu wa pili... akizidi sana utasikia wa nne.
je mimi nina bahati gani ya kuwa napata wanawake ambao hawajatumika sana?
Acheni wizi wanawake
gud.mmmhhhhh, hii kiboko, idhani kama anakumbuka...hata m mwenyewe niliyebarehe mwaka jui sikumbuki nimeshachovya wangapi....
Watumiajia wa tiGo huwa hatuna muda wa kuuliza uliza!
Watumiajia wa tiGo huwa hatuna muda wa kuuliza uliza!
hawawezi kukwambia idadi bana, kwanza nina wasiwasi hata hao wavulana aliopita nao hawezi kumbuka hata sura zao achilia mbali idadi!!!!!inataka moyo bana
Hii comment ni yako au kuna mtu kachakachua password yako Rev???
nadhani Rev hapo yupo sahihi kabisa, kwani watumiaji wa hiyo ndogo hawana presha hata kidogo!idadi ya watu wapitao njia hiyo ni wachache sasa presha ya nini?
Wewe lazima unatumia hiyo line! bravo
Wewe lazima unatumia hiyo line! bravo
Ile ya 0713 or 0655 hata mie nimemshitukia kabisa
Ile ya 0713 or 0655 hata mie nimemshitukia kabisa
Welcome to ze Klabu Dena Amsi! Usione aibu furahisha moyo wako.
Kuanzia nimebalehe, kila msichana nikimuuliza mimi ni bwana wako wa ngapi, utasikia we ni bwana wangu wa pili... akizidi sana utasikia wa nne.
je mimi nina bahati gani ya kuwa napata wanawake ambao hawajatumika sana?
Acheni wizi wanawake