EMT
Platinum Member
- Jan 13, 2010
- 14,483
- 15,308
teh teh teh. unanitega? kuna namna unaweza tell ubovu wangu kwa njia ya jamvi?
Diagnosing the problem kwanza ni njia bora ya kutatua tatizo.
Siwezi tell ubovu wako bila ya either wewe kuniambia au mie kutest.
Mi nilijua wewe great thinker umeingia huku leo hii
Basi ndio tutapona, utatueleza Dos and Donts zote
Wapi Bwa'Nchuchu? yeye alisema ni mtaalam hapa.
Haya mabo hayana u-great thinker