King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,672
- 68,638
Muwamba ngoma uvutia kwake,eyo mchomvu wape mashavu wape mashavu wana!
Kumbe watu hujisifia? Mie nilidhani husifiwa.
Kila mmoja ana uhuru wa kutoa mawazo yake, na humu kuna majukwaa tofauti tofauti ukiingia MMU maana yake mapenzi na mahusiano na urafiki, ukitaka siasa, ukitaka elimu, ukitaka mapishi n.k
Hayo unayoyataka wewe yatafute kwenye jukwaa husika, tuachie MMU yetu tujinafasi, Usiwafunge watu LUKU.
Mbona umeshtuka sana bibie?
Kaka mbona unapost kwa uchungu sana? Kimekuuma?
Kati ya mambo yooote yaliyopo duniani, sex ndio mazungumzo yenu. Hivi kuwa member wa JF hadi kiwango changu cha sex kijulikane na wewe?
Haya ukishajua ndio inakuwa nini?
Kama mnauza semeni kwa kunyoosha maongezi. Siku moja moja jadilini mambo ya maana. Akili mmeziweka kwenye sehemu za uzazi basi saa zooote mijadala ni namna gani sehemu za siri za mwanaume zitawatosha, Loh!
Chances zilikua fifty fifty. Ungependa nikuite dada?Kumbe wanaume unawajua eeh?! Umejuaje ni kaka?
Kaka mbona unaongea kama uko kwenye period?Leo unanisingizia uchungu, kesho utasema naongea kama niko kwenye ....od. Maana ndio maongezi mnayoyamudu. Ingekuwa amri yangu jukwaa hili ningelibadilisha jina, ningeliita Jukwaa la Wanaofikiri kwa Via vya Uzazi.
we kweli mwana mtoka pabaya... hapa si jukwaa la mahusiano..!! mahusiano yatashamirishwa na nini kama sio pamoja na sex. majukwaa yanaongelea mengine yako kibao humu JF, wewe wafuata nini huku kunako SEX kama unaona hapakufai?
Kaka mbona unaongea kama uko kwenye period?
Mi nimemwambia kile alicho taka kusikia. Pure copy paste.Ukiwa kwenye period unaongeaje kwani?
Mwali mbona umwambii Bwa'Nchuchu ukiwa period unaongea vipi?
Kaunga ndio uzuri upo hapo. ukikutana na mmoja hajakusifia utasema ni mbishi ama mvivu.
ila ukakutana na watano hawajakusifu; inapaswa ujitazame kabla ya kujisifu.
Inategemea.