Kamende
JF-Expert Member
- Mar 1, 2008
- 416
- 45
Wakuu
Amani iwe kwenu.
Nimelazimika kuandika ukweli huu kwamba huko duniani ( katika nchi nyinginezo) wana marais ambao wananchi wao wakikumbwa na dhahama wanawajulia hali na kuwafikia mara moja. Wenzetu hao wana marais ambao maofisa wa serikali wakiboronga wanawajibishwa mara moja. Wenzetu wana marais ambao kama serikali ikifanya kosa la kugharimu maisha ya watu itaomba radhi hadharani. Kwa wenzetu wezi walioiba kikubwa ( km ilivyo kwa EPA) wanaadhibiwa kwa kuanzia aliyeiba kingi kuliko wenzake. (just to mention but a few)
Yawezekana mna mengi zaidi ya kuchambua ukweli huu "WENZETU WANA MARAIS; SISI TUNA KIKWETE"
Amani iwe kwenu.
Nimelazimika kuandika ukweli huu kwamba huko duniani ( katika nchi nyinginezo) wana marais ambao wananchi wao wakikumbwa na dhahama wanawajulia hali na kuwafikia mara moja. Wenzetu hao wana marais ambao maofisa wa serikali wakiboronga wanawajibishwa mara moja. Wenzetu wana marais ambao kama serikali ikifanya kosa la kugharimu maisha ya watu itaomba radhi hadharani. Kwa wenzetu wezi walioiba kikubwa ( km ilivyo kwa EPA) wanaadhibiwa kwa kuanzia aliyeiba kingi kuliko wenzake. (just to mention but a few)
Yawezekana mna mengi zaidi ya kuchambua ukweli huu "WENZETU WANA MARAIS; SISI TUNA KIKWETE"