Patflax jr
Member
- Apr 11, 2011
- 72
- 1
Wakuu, kwanza napenda nimshkuru Allah kwa kunijalia kupata Ajira.
Pili wanajamvi wenzangu naomba mnisaidie niweze kupafaham huko Ukerewe kwa wale wenye kupajua coz nimepangiwa kwenda kufanya kaz huko kwenye Visiwa vya Ukerewe mwanza. lakn marafik zang wananivunja moyo kwa kunipa habar za kutisha kuhusu visiwa hvyo.msaada plz. naomba kuwasilisha
Pili wanajamvi wenzangu naomba mnisaidie niweze kupafaham huko Ukerewe kwa wale wenye kupajua coz nimepangiwa kwenda kufanya kaz huko kwenye Visiwa vya Ukerewe mwanza. lakn marafik zang wananivunja moyo kwa kunipa habar za kutisha kuhusu visiwa hvyo.msaada plz. naomba kuwasilisha