wenyeji wa Tanga mpo...?

Mbu

JF-Expert Member
Jan 11, 2007
12,753
7,845
...wadau,

Kama kuna mwenyeji/mtu mwenye uelewa wa Tanga mjini, naomba anijuze sehemu nzuri na salama (kwa malazi) ambapo wageni wangu wanaweza kufikia.

Itafaa iwapo hiyo sehemu itakuwa na mgahawa (i.e Bed & Breakfast), Parking, vyumba vyenye feni/AC, TV nk...

Bajeti; ....'tuanzie' chumba cha 35,000/= kwa usiku mmoja kupanda juu...
 
...wadau,

Kama kuna mwenyeji/mtu mwenye uelewa wa Tanga mjini, naomba anijuze sehemu nzuri na salama (kwa malazi) ambapo wageni wangu wanaweza kufikia.

Itafaa iwapo hiyo sehemu itakuwa na mgahawa (i.e Bed & Breakfast), Parking, vyumba vyenye feni/AC, TV nk...

Bajeti; ....'tuanzie' chumba cha 35,000/= kwa usiku mmoja kupanda juu...

Kulingana na hii bei itabidi mtu akuulizie, ila kama wageni wanajali usalama, uzuri/hadhi, na AC Mkonge hoteli will be my first choice. Kwa kuulizia kwingine wasiliana nami kwa ujumbe binafsi.
 
Panori au Kiboko hotel hapo. Pametulia sana. Utakua unakula na mishkaki ile mikubwa.
 
Although Tanga is a city by our standards, it lacks good hotels. apart from Mkonge and Panora Hotels, the rest are poor man's Hilton.
 
...wadau,

Kama kuna mwenyeji/mtu mwenye uelewa wa Tanga mjini, naomba anijuze sehemu nzuri na salama (kwa malazi) ambapo wageni wangu wanaweza kufikia.

Itafaa iwapo hiyo sehemu itakuwa na mgahawa (i.e Bed & Breakfast), Parking, vyumba vyenye feni/AC, TV nk...

Bajeti; ....'tuanzie' chumba cha 35,000/= kwa usiku mmoja kupanda juu...


BEI HIYO NENDA silverado motel iko chumbageni along mombasa road karibu na polisi au pia karibu ma ofisi za jiji. Hakika utakula bata
 
BEI HIYO NENDA silverado motel iko chumbageni along mombasa road karibu na polisi au pia karibu ma ofisi za jiji. Hakika utakula bata


yeah hata mi nilitaka kumtajia hiyo hiyo.

maeneo ya Dolphin na Nyinda kuna watu wengi sana japo bei kidogo inapungua.
 
BEI HIYO NENDA silverado motel iko chumbageni along mombasa road karibu na polisi au pia karibu ma ofisi za jiji. Hakika utakula bata

yeah hata mi nilitaka kumtajia hiyo hiyo.

maeneo ya Dolphin na Nyinda kuna watu wengi sana japo bei kidogo inapungua.

...Shangazi na mkuu Kaizer nashukuru kwa taarifa. I dont mind spending more, ndio maana nikasema kuanzia 35,000/= kwenda juu.

Mkonge Hotel nadhani wana charge 80,000/= kwa usiku mmoja (B & B), je? kuna hoteli nyingine zenye hadhi ya maana Tanga mjini badala ya Mkonge? ... say, wana charge bei kidogo chini ya hapo?
 
Although Tanga is a city by our standards, it lacks good hotels. apart from Mkonge and Panora Hotels, the rest are poor man's Hilton.

...sawasawa mkuu,....

I hope hao Panora Hotels wana website,...nitawachungulia kujua tarrifs zao, na facilities. I can't believe Tanga kuna ukame namna hii sehemu (za uhakika) za malazi duuh!
 
Panori au Kiboko hotel hapo. Pametulia sana. Utakua unakula na mishkaki ile mikubwa.

...:D:D:D Bao3 kiswahili chako kimeniacha feri mkuu, mishikaki mikubwa ndio kitu gani tena yarabi....ha ha haa

Kuna jamaa alitaka kujua sehemu nzuri ya kula yeye na wakwe zake (wageni), jamaa si akampeleka Jolly Club bana? ...ilikuwa kizaa zaa usiku huo...!


Hiyo Panori ni tofauti na Panora iliyotajwa hapa?
 
...:D:D:D Bao3 kiswahili chako kimeniacha feri mkuu, mishikaki mikubwa ndio kitu gani tena yarabi....ha ha haa

Kuna jamaa alitaka kujua sehemu nzuri ya kula yeye na wakwe zake (wageni), jamaa si akampeleka Jolly Club bana? ...ilikuwa kizaa zaa usiku huo...!


Hiyo Panori ni tofauti na Panora iliyotajwa hapa?

Mkuu nadhani jina sahihi ni Panori, hiyo 'mishikaki mikubwa' nadhani ni nothing zaidi ya mishikaki ile yenye vipande vikubwa vya nyama laini iliyochomwa kiufundi kisha bei yake mmoja kama elf 2 au elfu na nusu, ukila mmoja au miwili we chali, na kama ni mtu wa kinywaji (pole mkuu) basi inakuwa mswano.
 
Jaribu pia na silvarado,iko chumbageni poa kiaina,na kuna moja zamani ikiitwa bandari inn iko sea front na tanga port,hapo pia msosi maridadi wa mama wa kihindi.
 
...Shangazi na mkuu Kaizer nashukuru kwa taarifa. I dont mind spending more, ndio maana nikasema kuanzia 35,000/= kwenda juu.

Mkonge Hotel nadhani wana charge 80,000/= kwa usiku mmoja (B & B), je? kuna hoteli nyingine zenye hadhi ya maana Tanga mjini badala ya Mkonge? ... say, wana charge bei kidogo chini ya hapo?

Mkuu Mbu ha!ha1ha!ha! Nilikuwa Tanga juzi juzi mwishoni mwezi wa nane! naweza kukwambia haya!

Mkonge Hotel......ina madhari nzuri sana, iko baharini, ina viunga vikubwa sana vya kupumzikia, ina vyumba vikubwa sana, ina AC nzuri, bacon poa kabisa ina vyumba vya sea facing na vya kawaida, pia wapo na parking kubwa sana!

Mimi nililala pale siku moja tena was room #223 Sea viewing one! Matatizo niliyoyaexperience mimi ni haya:

1. Wana wahudumu wachafu sana (kwa kila kitu hapa)

2. Wanahuduma mbovu sana (customer care), mfano nilikuta toilet chafu, mashuka ni quite old, vikorombwezo like remote controls za TV, AC ni matatizo....nilitaka nicheki game nikashindwa mbali ya kuomba wanisaidie kama mara mbili hivi
3. Wana gharama sana (kulinganisha na huduma) see viewing rooms ni Tshs 70,000 wakati vya kawaida ni Tshs 65,000

4. Wanaopenda kujirusha, viwanja pale karibu hakuna yaani pamejitenga sana mkuu!

5. Vyumbani hakuna the So called MIN BAR....kwa wale wenzangu...!

Siku ya pili nikahamia DOLPHIN hotel

Hawa wako na rooms nzuri sana za aina na bei tofauti;

Zipo za Tshs 50,000 .....zina AC, Simu, breakfast, big room, maji ya moto (if you like), huduma nzuri na wahudumu kidogo wanazingatia usafi binafsi na wako na sare nzuri sana!

Zipo pia 25,000 (min) na 30,000....huku quality ya rooms inapungua kiasi!

Hawa pia wako mjini ambapo ni karibu na viwanja vingi vya kujirusha, like Nyinda bar (pana rost ya maini na nyama choma acha kabisa) Club la Casa, Chichi Club, Ze City Hotel (Hapa mzee pana supu ya pweza acha kabisa)etc!

Tatizo la Dolphin ni parking sio kubwa sana!

Nyinda wana rooms nzuri sana na bei yao ni Tshs 25,000.....! sema hawa pale kwao nje kuna bara ambayo ni very popular na hujaa sana wateja so kelelee!

Panori .....unaweza kugoogle kuna agent wao anawatangaza kwenye net.....ila hawana jipya huduma zao room ni Tshs 40,000, no simu lakini breakfast...ukitaka piga simu hii...027 2646044 (ni ya Hotel hii) watakwambia what they can offer!

Mbu kama mwenyewe unaenda Tanga na hupenda kujirusha, pitia pale Club la Casa (ni night club), is very nice place kwa wanaopenda kujirusha mkuu!

Kama unapenda nyama choma...ha!ha!ha! nenda pale Ze City Hotel.....mwisho wa matatizo, kuna Mchaga mmoja pale anachoma Kuku, mbuzi, ng'ombe sijawahi ona aisee! Please usisahau...pale kuna SUPU ya pweza sio kama ile inauzwa dar barabarani no iko kny very good quality!

Kama ni mpenzi wa Samaki usisahau kutembelea kule Deep sea wenyewe wanakuita....acha kabisa!

Need wa say more mkuu!
 
Mkuu nadhani jina sahihi ni Panori, hiyo 'mishikaki mikubwa' nadhani ni nothing zaidi ya mishikaki ile yenye vipande vikubwa vya nyama laini iliyochomwa kiufundi kisha bei yake mmoja kama elf 2 au elfu na nusu, ukila mmoja au miwili we chali, na kama ni mtu wa kinywaji (pole mkuu) basi inakuwa mswano.

...sawasawa ndugu yangu, ni Panori... naiperuzi na kuidadisi hapa kwenye mtandao muda huu;
 
Nenda Regal Naivera, au NYinda Annex, huduma bomba vyumba safi security juu parking swafi... ila usijaribu mkonge, hali si poa sana

a budget of 30-50k inakutosha kwa siku
 
Mkuu Mbu ha!ha1ha!ha! Nilikuwa Tanga juzi juzi mwishoni mwezi wa nane! naweza kukwambia haya!

Mkonge Hotel......ina madhari nzuri sana, iko baharini, ina viunga vikubwa sana vya kupumzikia, ina vyumba vikubwa sana, ina AC nzuri, bacon poa kabisa ina vyumba vya sea facing na vya kawaida, pia wapo na parking kubwa sana!

Mimi nililala pale siku moja tena was room #223 Sea viewing one! Matatizo niliyoyaexperience mimi ni haya:

1. Wana wahudumu wachafu sana (kwa kila kitu hapa)

2. Wanahuduma mbovu sana (customer care), mfano nilikuta toilet chafu, mashuka ni quite old, vikorombwezo like remote controls za TV, AC ni matatizo....nilitaka nicheki game nikashindwa mbali ya kuomba wanisaidie kama mara mbili hivi
3. Wana gharama sana (kulinganisha na huduma) see viewing rooms ni Tshs 70,000 wakati vya kawaida ni Tshs 65,000

4. Wanaopenda kujirusha, viwanja pale karibu hakuna yaani pamejitenga sana mkuu!

5. Vyumbani hakuna the So called MIN BAR....kwa wale wenzangu...!

Siku ya pili nikahamia DOLPHIN hotel

Hawa wako na rooms nzuri sana za aina na bei tofauti;

Zipo za Tshs 50,000 .....zina AC, Simu, breakfast, big room, maji ya moto (if you like), huduma nzuri na wahudumu kidogo wanazingatia usafi binafsi na wako na sare nzuri sana!

Zipo pia 25,000 (min) na 30,000....huku quality ya rooms inapungua kiasi!

Hawa pia wako mjini ambapo ni karibu na viwanja vingi vya kujirusha, like Nyinda bar (pana rost ya maini na nyama choma acha kabisa) Club la Casa, Chichi Club, Ze City Hotel (Hapa mzee pana supu ya pweza acha kabisa)etc!

Tatizo la Dolphin ni parking sio kubwa sana!

Nyinda wana rooms nzuri sana na bei yao ni Tshs 25,000.....! sema hawa pale kwao nje kuna bara ambayo ni very popular na hujaa sana wateja so kelelee!

Panori .....unaweza kugoogle kuna agent wao anawatangaza kwenye net.....ila hawana jipya huduma zao room ni Tshs 40,000, no simu lakini breakfast...ukitaka piga simu hii...027 2646044 (ni ya Hotel hii) watakwambia what they can offer!

Mbu kama mwenyewe unaenda Tanga na hupenda kujirusha, pitia pale Club la Casa (ni night club), is very nice place kwa wanaopenda kujirusha mkuu!

Kama unapenda nyama choma...ha!ha!ha! nenda pale Ze City Hotel.....mwisho wa matatizo, kuna Mchaga mmoja pale anachoma Kuku, mbuzi, ng'ombe sijawahi ona aisee! Please usisahau...pale kuna SUPU ya pweza sio kama ile inauzwa dar barabarani no iko kny very good quality!

Kama ni mpenzi wa Samaki usisahau kutembelea kule Deep sea wenyewe wanakuita....acha kabisa!

Need wa say more mkuu!

...daaaah! thanks a lot mkuu, maana umetoa darsa la nguvu hapa. Duuh, sikujua Mkonge pamechakaa hivyo,...halafu ndio number one hotel mjini Tanga, wahudumu wachafu mno? duuuh! sitii mguu huko!

Nimewapigia Panori muda mchache uliopita baada ya kuiperuzi na kuidadisi website yao, wameniambia Rooms zao wana charge 42,000/= (umesema 40,000/= ?) ha ha haa... Bongo kwa chajuu!

Ngoja niifanyie utafiti hiyo Dolphin Hotel pia, hawana website hawa wala mwenye contacts zao?

...hao Ze City hotel wanafaa kutembelewa kjupata hiyo nyama choma na pweza uliosifia kwa nguvu yote :D
 
...:d:d:d bao3 kiswahili chako kimeniacha feri mkuu, mishikaki mikubwa ndio kitu gani tena yarabi....ha ha haa

kuna jamaa alitaka kujua sehemu nzuri ya kula yeye na wakwe zake (wageni), jamaa si akampeleka jolly club bana? ...ilikuwa kizaa zaa usiku huo...!


Hiyo panori ni tofauti na panora iliyotajwa hapa?
mbuzi katoliki
 
Vipi IRENTE farm?

...khaaaa!

huko ni milima ya usambara mkubwa,...nilikwenda huko mwaka jana, inatosha! Zile kona, muinuko mkali na wembamba wa barabara zake sirudii tena kupandisha kule na gari manual!
 
Wakuu,
Kwa waliofika Tanga miaka sita nyuma watakuwa wanajua Hoteli za Panori na Mkonge tu. Sasa hivi zimeongezeka zingine zenye hadhi sawia kama vile NYINDA CLASSIC iko mitaa tulivu ya Raskazone, REGAL NAIVERA iko mitaa ya Bombo ni patulivu na rate zao ni kama 40,000/= a day. Kuna zingine cheap kidogo lakini mandhari nzuri na utulivu pia, ni NYINDA EXECUTIVE, WARIDI na RED SEA. Hizi zipo maeneo ya chuda. Karibu mdau.
 
Back
Top Bottom