Wenye uzoefu wa kusafiri nje ya nchi kwa basi naombeni uzoefu

pet96

JF-Expert Member
Feb 23, 2022
347
575
Habari ndugu wana JF.

Kama mada inavyosema. BInafsi nina mpango wa kufanya safari nje ya mipaka ya Tanzania 🇹🇿 kwa njia ya basi kwenda nchi za Sadc na Eac kwa dhumuni la kutalii(Kutembea). Tayari nina documents zote muhimu kama yellow fever, COVID-19 certificates na Passport.

Naomba kufahamishwa yafuatayo;
a) Namna gani naweza kusafiri na hela ya matumizi huko niendako( Je nibebe fedha cash ya nchi husika mfano kama naenda zambia 🇿🇲 nibebe kwacha mfukoni niende nazo au niwe na account kwenye Banks zenye matawi huko niendako? Vp changamoto ya kupata atms maana sifahamu niendako atms zinapatikana wapi?

b) Namna bora ya kupata accommodation (Lodges & hotels) nzuri na salama.

C) Nawezaje kufanya mizunguko baada ya kufika eneo husika bila kupotea eneo nililofikia mfano nimefika lusaka nataka kufanya City tour na kurudi Lodge kwa urahisi bila kupotea

Asante!
 
Hongera sana mkuu kwa hili, ni vema ile bucket list yako ukaitimiza, nachangia kidogo na kwa mfano wako wa kutembelea Zambia, panda bus la Sauli kutoka Dar hadi Tunduma, spend two day's pale Tunduma, ukitalii na kuangalia fursa, vuka ile OSBP ingia Zambia, panda Power Tools bus ya Lusaka (fedha badilisha pale border, kuwa makini na matapeli na pata exchange rate ya siku hiyo kabla ya kubadilisha ili uwe unajua line ipo wapi).

Hotels nyingi Lusaka zipo safi na safe, Google itakusaidia, tumia uber to move around Lusaka na daladala nazo ni safi, pia safiri na plastic money, covid certificate sio muhimu ila yellow fever card ni muhimu, karibu.
 
Duh...! Yani unauliza kwamba Ukiwa Hotel mfano Lusaka unataka kutembea kwamba utarudije Hotelini...!!?

Kweli Binadamu tumetofautiana wakati mimi 2014 mara ya kwanza nashuka Johannesburg then Capetown natoka Hotel, naingia town kufanya Biashara zangu then narudi Hotel...!!

Haya wacha nikupe Ushauri...!
Kwa namna ulivyoandika huna Ujanja wa kutosha kushindwa ama Kupunjwa Pesa ukichenji Boda ya Tunduma, ama ukatapeliwa ama ukaibiwa!

1. Fungua account kwa Bank ambazo ni Worldwide, means ukiwa na ATM Card yako, Visa ama Master Card unaweza kutoa pesa nchi yoyote... (Hiyo ya kusema utajuaje kama wapi kuna ATM machine huo ni Ushamba........ Wakati una Smartphone..)

2. Chenji kabisa pesa mji uliopo kabla hujaanza safari, coz Kwa namna navyokusoma, utalia peke yako pale Tunduma, mfano unaenda Zambia, Chenji pesa kiasi kabla hujaanza safari.

3. Watu wenye Pesa mfukoni huwa hawapotei Mkuu, Ukitaka kuanza mizunguko yako mfano upo Lusaka, muhimu ni kuweka Kichwani jina la Hotel, na Mtaa iliyopo, itakusaidia kama ukisahau mitaa ulipofikia, pia jifunze kutumia Simu vizuri, simu yako inaweza kukuonyesha wapi kuna ATM Machines jirani na ulipo, itakuonyesha ni ya Bank gani, itakuonyesha Umbali, utakuonyesha kama unaweza kwenda kwa Miguu ama utumie usafiri n.k....!

4. Nchi za watu zipo tofauti kulinganisha na Tanzania, hasa za africa kama ni Mzembe mzembe, utakuja kuhadithia hapa, muhimu unatakiwa kuwa Makini muda wote, mtu mwwnye uwezo wa kusoma mazingira bila kuuliza, mtu ambaye unaweza kwenda sehemu, ukatupa jicho kushoto, ukaona yule na yule kule Ni vibaka, ama yule ni mtu mzuri ila yule mwimgine sio mtu Mzuri!

5. Huja haja ya kuunga unga, chukua straight Bus toka Dar mpaka Lusaka, kuunga unga kuna raha yake ukiwa Mzoefu ama ukiwa na pesa pungufu.
 
Hongera sana mkuu kwa hili, ni vema ile bucket list yako ukaitimiza, nachangia kidogo na kwa mfano wako wa kutembelea Zambia, panda bus la Sauli kutoka Dar hadi Tunduma, spend two day's pale Tunduma, ukitalii na kuangalia fursa, vuka ile OSBP ingia Zambia, panda Power Tools bus ya Lusaka (fedha badilisha pale border, kuwa makini na matapeli na pata exchange rate ya siku hiyo kabla ya kubadilisha ili uwe unajua line ipo wapi),hotels nyingi Lusaka zipo safi na safe, Google itakusaidia,tumia uber to move around Lusaka na daladala nazo ni safi, pia safiri na plastic money, covid certificate sio muhimu ila yellow fever card ni muhimu, karibu
Thanks!
 
Duh...! Yani unauliza kwamba Ukiwa Hotel mfano Lusaka unataka kutembea kwamba utarudije Hotelini...!!?

Kweli Binadamu tumetofautiana wakati mimi 2014 mara ya kwanza nashuka Johannesburg then Capetown natoka Hotel, naingia town kufanya Biashara zangu then narudi Hotel...!!

Haya wacha nikupe Ushauri...!
Kwa namna ulivyoandika huna Ujanja wa kutosha kushindwa ama Kupunjwa Pesa ukichenji Boda ya Tunduma, ama ukatapeliwa ama ukaibiwa!

1. Fungua account kwa Bank ambazo ni Worldwide, means ukiwa na ATM Card yako, Visa ama Master Card unaweza kutoa pesa nchi yoyote... (Hiyo ya kusema utajuaje kama wapi kuna ATM machine huo ni Ushamba........ Wakati una Smartphone..)

2. Chenji kabisa pesa mji uliopo kabla hujaanza safari, coz Kwa namna navyokusoma, utalia peke yako pale Tunduma, mfano unaenda Zambia, Chenji pesa kiasi kabla hujaanza safari.

3. Watu wenye Pesa mfukoni huwa hawapotei Mkuu, Ukitaka kuanza mizunguko yako mfano upo Lusaka, muhimu ni kuweka Kichwani jina la Hotel, na Mtaa iliyopo, itakusaidia kama ukisahau mitaa ulipofikia, pia jifunze kutumia Simu vizuri, simu yako inaweza kukuonyesha wapi kuna ATM Machines jirani na ulipo, itakuonyesha ni ya Bank gani, itakuonyesha Umbali, utakuonyesha kama unaweza kwenda kwa Miguu ama utumie usafiri n.k....!

4. Nchi za watu zipo tofauti kulinganisha na Tanzania, hasa za africa kama ni Mzembe mzembe, utakuja kuhadithia hapa, muhimu unatakiwa kuwa Makini muda wote, mtu mwwnye uwezo wa kusoma mazingira bila kuuliza, mtu ambaye unaweza kwenda sehemu, ukatupa jicho kushoto, ukaona yule na yule kule Ni vibaka, ama yule ni mtu mzuri ila yule mwimgine sio mtu Mzuri!

5. Huja haja ya kuunga unga, chukua straight Bus toka Dar mpaka Lusaka, kuunga unga kuna raha yake ukiwa Mzoefu ama ukiwa na pesa pungufu.
Asante!
 
Hongera sana mkuu kwa hili, ni vema ile bucket list yako ukaitimiza, nachangia kidogo na kwa mfano wako wa kutembelea Zambia, panda bus la Sauli kutoka Dar hadi Tunduma, spend two day's pale Tunduma, ukitalii na kuangalia fursa, vuka ile OSBP ingia Zambia, panda Power Tools bus ya Lusaka (fedha badilisha pale border, kuwa makini na matapeli na pata exchange rate ya siku hiyo kabla ya kubadilisha ili uwe unajua line ipo wapi).

Hotels nyingi Lusaka zipo safi na safe, Google itakusaidia, tumia uber to move around Lusaka na daladala nazo ni safi, pia safiri na plastic money, covid certificate sio muhimu ila yellow fever card ni muhimu, karibu.
Lusaka hawana uber wana yango
 

Kwanza kabisa badilisha mfukoni ubebe dollars, kuna baadhi ya haya mataifa ukiwa na hela ya kutoka kwenu haikusadii kwa chochote, yaani maeneo ya kubadilisha hela wanazikataa.

Pili hakikisha dollars utakazobeba zisiwe na alama yoyote hata kidoti, yalinikuta mwenzenu, ziwe safi.

Tatu, nchi yoyote utakayoingia, jenga undugu na taxi driver ambaye unamuamini, anakupa michongo yote.
Nimekatiza haya mataifa nimejifunza mengi sana.
Hicho cheti cha Covid hakina umuhimu tena.
Kama Mtanzania ukiingia Uganda, Kenya na Rwanda lazima pasipoti, ila kwa Mkenya unatiririka kwenye hayo mataifa bila paspoti yoyote, wameungana vizuri sana hadi.
 
Kwanza kabisa badilisha mfukoni ubebe dollars, kuna baadhi ya haya mataifa ukiwa na hela ya kutoka kwenu haikusadii kwa chochote, yaani maeneo ya kubadilisha hela wanazikataa.

Pili hakikisha dollars utakazobeba zisiwe na alama yoyote hata kidoti, yalinikuta mwenzenu, ziwe safi.

Tatu, nchi yoyote utakayoingia, jenga undugu na taxi driver ambaye unamuamini, anakupa michongo yote.
Nimekatiza haya mataifa nimejifunza mengi sana.
Hicho cheti cha Covid hakina umuhimu tena.
Kama Mtanzania ukiingia Uganda, Kenya na Rwanda lazima pasipoti, ila kwa Mkenya unatiririka kwenye hayo mataifa bila paspoti yoyote, wameungana vizuri sana hadi.
✅🙏
 
Kwanza kabisa badilisha mfukoni ubebe dollars, kuna baadhi ya haya mataifa ukiwa na hela ya kutoka kwenu haikusadii kwa chochote, yaani maeneo ya kubadilisha hela wanazikataa.

Pili hakikisha dollars utakazobeba zisiwe na alama yoyote hata kidoti, yalinikuta mwenzenu, ziwe safi.

Tatu, nchi yoyote utakayoingia, jenga undugu na taxi driver ambaye unamuamini, anakupa michongo yote.
Nimekatiza haya mataifa nimejifunza mengi sana.
Hicho cheti cha Covid hakina umuhimu tena.
Kama Mtanzania ukiingia Uganda, Kenya na Rwanda lazima pasipoti, ila kwa Mkenya unatiririka kwenye hayo mataifa bila paspoti yoyote, wameungana vizuri sana hadi.
mkuu ebu nifafanulie vizuri mimi ninayo passport ila sijawahi kusafiri kwenda nchi yoyote...je matharani nikiamua kwenda kenya akuna supporting documents nyingine natakiwa kuambatana nayo....?​
 
mkuu ebu nifafanulie vizuri mimi ninayo passport ila sijawahi kusafiri kwenda nchi yoyote...je matharani nikiamua kwenda kenya akuna supporting documents nyingine natakiwa kuambatana nayo....?​

Kwa Mtanzania kuingia Kenya hauhitaji supporting document yoyote zaidi ya paspoti, ninaye mmoja hapa ametembelea Kenya juzi na hakuagizwa chochote zaidi, ila muhimu ukabeba cheti cha homa ya njano maana haujui wapi unaweza ukashtukizwa waiagize.
 
Kwa Mtanzania kuingia Kenya hauhitaji supporting document yoyote zaidi ya paspoti, ninaye mmoja hapa ametembelea Kenya juzi na hakuagizwa chochote zaidi, ila muhimu ukabeba cheti cha homa ya njano maana haujui wapi unaweza ukashtukizwa waiagize.
shukuran ngoja nijiandae nikatembee kenya
 
Naomba muongozo
Hapo ukifika tunduma utachange hela zako shiling kwenda kweny kwacha utagonga passport yako japo watakusumbua kidogo wanatakaga rushwa sana migration wa zambia utaeenda nakonde kuna stand ya bus pale utakata ticket ya bus la kwenda lusaka kwenye lugha kiswahili mnaeelewana, na lusaka kule ni simple tu wabongo wengi sana na mwisho nikutakie safari njema
 
Hapo ukifika tunduma utachange hela zako shiling kwenda kweny kwacha utagonga passport yako japo watakusumbua kidogo wanatakaga rushwa sana migration wa zambia utaeenda nakonde kuna stand ya bus pale utakata ticket ya bus la kwenda lusaka kwenye lugha kiswahili mnaeelewana, na lusaka kule ni simple tu wabongo wengi sana na mwisho nikutakie safari njema
Thanks
 
Kwa Mtanzania kuingia Kenya hauhitaji supporting document yoyote zaidi ya paspoti, ninaye mmoja hapa ametembelea Kenya juzi na hakuagizwa chochote zaidi, ila muhimu ukabeba cheti cha homa ya njano maana haujui wapi unaweza ukashtukizwa waiagize.
Hivi haya macheti Ya homa ya njano huwa zinaisha Muda wake?
 
Back
Top Bottom