Wenye uhitaji wa walimu wa masomo yote njoo hapa tukutane na professional teachers

Mwalimu aliye vizuri kufundisha masomo ya english na computer na kumfanya mtu aelewe vizuri anahitajika muhitaji ni mtu mzima yupo dar hivyo aliyetayari ani pm kwa maelezo zaidi
 
Mimi ni mwalimu wa Kiswahili na History,nipo DSM,Nina postgraduate ya Education
 
Unadanya three subject
It is possible aise. Mi mwl pia wa engl / swahil ni nkianza kazi 2011 nimekua nkifundisha hayo masomo but nkahamia advanced hapakua mwl wa gs nikaanza kufundisha Gs tangu 2013 mwaka 2016 nimehamia o-level tena sasa nafundisha engl na civics . So now hata nikiomba kazi basi nna uwezo kufundisha vizur kabisa engl,kiswa,civics na gs.
 
Bachelor of ed in Commerce n Accountancy(mwlm wa Book keeping n commerce) ,graduater frm Mzumbe University main campus ,yn huyu hpa kiukwel mtafuten kwa mnayehitaji walim wa masomo ya biashara,0629561889.
 
It is possible aise. Mi mwl pia wa engl / swahil ni nkianza kazi 2011 nimekua nkifundisha hayo masomo but nkahamia advanced hapakua mwl wa gs nikaanza kufundisha Gs tangu 2013 mwaka 2016 nimehamia o-level tena sasa nafundisha engl na civics . So now hata nikiomba kazi basi nna uwezo kufundisha vizur kabisa engl,kiswa,civics na gs.
Mkuu wapi ulisomea kufundisha masomo ya Civics na GS au unafundisha unaojua tu
 
Back
Top Bottom