Wenye hoja mbadala dhidi ya nondo za T. Lissu uwanja wenu huu

Kifimboplayer

JF-Expert Member
Nov 24, 2013
1,542
717
kichwa cha habari kama kinavyojieleza hapo juu leo ni siku ya pili baada ya nondo za tundu lissu kuwsilishwa bungeni jana ni muda muafaka sasa kwa wale waliopitia aidha kwa kuisikia au kuisoma na kupima ni imani yangu kuwa wale wenye huitaji wa serikali tatu watakuwa wamejiridhisha na mtoa hoja T. lisu,
kwa sasa tunasubili mawazo mbadala ya wale wana jamvi waliokuwa wanatetea muungano wa serikali mbili (wapo hapa jamvini na wanafahamika) ni nafasi ya hii kujitetea kama si kujisafisha ili na sisi wana jamvi tuwe na tamko moja kuhusu muundo wa serikali yetu muungano iso shaka ya wengi wape
Karibuni
 

Attachments

  • images.jpeg
    images.jpeg
    12.4 KB · Views: 644
Tukiwa na serikali Tatu shirikisho letu la Tanganyika na Zanzibar litapata maendeleo makubwa sana kuliko nchi yoyote ile Africa nawaambieni.
 
subili dogo mbona una haraka, kwani Ritz ameonekana pande hizo
kimya kirefu kina mshindo na mi niko chimbo nafukunyua data na mkuu wa kaya alishasema serikali 3 labda mpaka atakapoondoka madarakani
 
Last edited by a moderator:
subili dogo mbona una haraka, kwani Ritz ameonekana pande hizo
kimya kirefu kina mshindo na mi niko chimbo nafukunyua data na mkuu wa kaya alishasema serikali 3 labda mpaka atakapoondoka madarakani

Huyo na FaizaFoxy wameunga mkono hoja ya Lissu na sasa wana support serikali 3
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom