THE BIG SHOW
JF-Expert Member
- Feb 28, 2012
- 16,365
- 12,823
Friends and Enemies,
Ngoma ambayo mwenyekiti wa kudumu wa chadema Freeman Mbowe aliianzisha wiki kadhaa zilizopita ndiyo kiini hasa Cha taharuki ya tunachokiona kinaendelea Kwa sasa.
Either nichukue nafas yangu kumpongeza Waziri Mkuu Majaliwa kwa kufanya clarifications za kina kuwa hakuna bandari yoyote ndan ya nchi hii itayouzwa na hakuna suala la Wala ajenda ya ukanda,udini na upigaji kama vile ambavyo Mbowe na SUKUMA GANG wanavyoshadadia,
Majaliwa kama mtendaji Mkuu wa serikali amesisitiza kuwa mwananchi ana Haki ya kutoa maoni, ana Haki ya kuwa na hofu, ana Haki ya kushauri na kutoa mapendekezo wapi paboreshwe, lakin siyo sawa kuja na kashfa na kauli za kejeli na uzushi Kwa serikali na Hususan Kwa Rais kama vile ambavyo Mbowe na SUKUMA GANG wanavyoshadadia kuwa Kuna uzanzibar na ukanda.
Nasema SUKUMA GANG na Chadema wameungana katika hili kwani ulifuatilia waziwazi mijadala inayoendelea hivi sasa mitandaoni na vijiweni inaonesha wazi wazi kuwa hawa watu walikuwa wanatafuta ajenda ya kuwaunganisha pamoja na sasa wameipata hii ya bandari.
Kitu tunachotaka kuwaeleza ni kwamba pale bandarini wezi na vibaka wameweka Mizizi mirefu sana na wamekuwa kama corona Kila wakitafutiwa dawa Wana mutate na kuwa virus wapya na kuendelea kuiba na kulitia hasara Taifa hili.
Kuja kwa mwekezaji mpya wa kumreplace TICTS ni njia Bora ya kusambaratisha Moja Kwa Moja vimelea hivyo vya Rushwa,wizi na utendaji hafifu wa bandari.
Chadema na SUKUMA GANG hata mkiungana basi tafuteni hoja za msingi na zenye mashiko, acheni kupotosha wananchi na kutengeneza taharuki,kumbukeni maendeleo hata huyo JPM mnaemkumbuka hivi sasa alishaambiwa kuwa hayana chama.
Ngoma ambayo mwenyekiti wa kudumu wa chadema Freeman Mbowe aliianzisha wiki kadhaa zilizopita ndiyo kiini hasa Cha taharuki ya tunachokiona kinaendelea Kwa sasa.
Either nichukue nafas yangu kumpongeza Waziri Mkuu Majaliwa kwa kufanya clarifications za kina kuwa hakuna bandari yoyote ndan ya nchi hii itayouzwa na hakuna suala la Wala ajenda ya ukanda,udini na upigaji kama vile ambavyo Mbowe na SUKUMA GANG wanavyoshadadia,
Majaliwa kama mtendaji Mkuu wa serikali amesisitiza kuwa mwananchi ana Haki ya kutoa maoni, ana Haki ya kuwa na hofu, ana Haki ya kushauri na kutoa mapendekezo wapi paboreshwe, lakin siyo sawa kuja na kashfa na kauli za kejeli na uzushi Kwa serikali na Hususan Kwa Rais kama vile ambavyo Mbowe na SUKUMA GANG wanavyoshadadia kuwa Kuna uzanzibar na ukanda.
Nasema SUKUMA GANG na Chadema wameungana katika hili kwani ulifuatilia waziwazi mijadala inayoendelea hivi sasa mitandaoni na vijiweni inaonesha wazi wazi kuwa hawa watu walikuwa wanatafuta ajenda ya kuwaunganisha pamoja na sasa wameipata hii ya bandari.
Kitu tunachotaka kuwaeleza ni kwamba pale bandarini wezi na vibaka wameweka Mizizi mirefu sana na wamekuwa kama corona Kila wakitafutiwa dawa Wana mutate na kuwa virus wapya na kuendelea kuiba na kulitia hasara Taifa hili.
Kuja kwa mwekezaji mpya wa kumreplace TICTS ni njia Bora ya kusambaratisha Moja Kwa Moja vimelea hivyo vya Rushwa,wizi na utendaji hafifu wa bandari.
Chadema na SUKUMA GANG hata mkiungana basi tafuteni hoja za msingi na zenye mashiko, acheni kupotosha wananchi na kutengeneza taharuki,kumbukeni maendeleo hata huyo JPM mnaemkumbuka hivi sasa alishaambiwa kuwa hayana chama.